RC ni mtu wa kwanza kabisa kuwajibika maana alikataa kuhusu taarifa za uwepo wa watu hao tena sio mara moja, kwann alikanusha bila hata msako wowote kupata assurance ya kile kinachoripotiwa ama anachokiamini yeye. Poleni sana ndg zetu wa Tanga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.