Recent content by Mihayo N'hunga

  1. M

    JamiiForums Tanzania ...Balozi Khamis Kagasheki katika hili umeonewa hatia yako siioni bado

    Hapani kilichotokea hatuangalii mtu binafsi isipokuwa ni MINISTERIO RESPONDIBILITY hivyo ndugu hata angekuwa na umuhimu kama Magufuli angrondoka tuu...Hongera CCM kwa ulomavu wa kisiasi inatupa nguvu raia wa Nchi Hiii...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Dr. Kitila Mkumbo asimamishwa Uongozi DUCE kwa kushiriki siasa akiwa Mtumishi wa Umma!

    Hapo wamechemka kabisa coz hata KATIBA haimkatazi mtu kuwa mwanachama wa chama chochote hapo kuna kitu!!!!!!!
  3. M

    JamiiForums Tanzania Sio Mnyika wala Tundu Lissu kapinga tuhuma za kutaka kutonywa

    Kilichonishangaza ni kutojitambua huyo padri slaa maana yeye ndie anaepaswa kwenda kwenye press conference na waandishi kama leo hiyo CC yao imewapeleka lisu na mnyika ipi thamani yake kama mtendaji mkuu. Pia bado huo wanaosema wao kuwa na waraka feki bt unahitaji majibu ya msingi mbona bado...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wana forum nisaidien je hili kosa ni lakumfukuzisha shule mwanafunzi au mwalimu?

    No reason for the decesion
  5. M

    JamiiForums Tanzania Tunalaani Maandamano Haramu ya Kigoma-Msafiri Wamalwa

    Ahaaa tatizonyie CHADOMO mmezoea kuwashawishi wafuasi wenu kufanya maandamano sasa mnachoshangaa nini sasa acheni upumbavu wa kuwalaumu CCM kama mmeshindwa na hicho chama ni vyema tumrudishie Mzee Mtei maana ndio mmiliki
  6. M

    JamiiForums Tanzania Aibu: Tundu Lissu adanganya tena

    Hoja yangu kwa lisu JE WARAKA FEKI unatumika KUMUWAJIBISHA MTU........ so inamaana maamuzi yaliyotolewa na CC ya Mzee Mtei hayakuwa sahihi!!!!!!!!!! Sijajua lipi CHad..a Wamekusudia kwa ZZK mungu amuepushe yasimkute ya CHACHA WANGWE maana vijana kama D. Mallia wapo wengii....R.I.P CHACHA...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

    Dah.. that long plan...... its whow Wise Man think....keep it up MM. M1.M2, M3 very intrested watch uuuu 2015
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa CHADEMA Kuhusu Maazimio ya Kamati Kuu - Novemba 2013

    Natamani siku 14 zifike mapema
  9. M

    JamiiForums Tanzania Zitto na Kitila wavuliwa vyeo vyote ndani ya CHADEMA

    Mi naona hao CDM wanakosoa hayo ni maamuzi ya WOGA tu hakuna haja ya kumwambia andike barua toa maamuzi MBOWE ndo mwenye mamlaka
  10. M

    JamiiForums Tanzania Zitto akera wajumbe kamati kuu CHADEMA - Tanzania Daima

    Naona hao chadema wanaweweseka na mtu mmoja ZITO tu kama hiyo CC imeona hana faoda hebu MFUKUZENI... kopi mnachoogopa hamjajifunza tu hakuwa na heshima kama Mansuri Y. HEMID na katoka au CUF Kwa HAMAD RASHID jifunzeni hiyo yote ni siasa.
  11. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA, Kwa hili suala la Zitto mbona hamueleweki?

    Mi nadhani hapa hawa CHADEMA wanadhihirisha udhaifu wao kuwa hawako imara wala hawajiamini ktk maamuzi yao...Fukuza ZITO ZIRO huyo.....
  12. M

    JamiiForums Tanzania Sipora Liana afikishwa mbele ya kamati ya maadili

    Jaribu kuweka post za kuelewrka na jitahidi kuandika reason ya post yako....
  13. M

    JamiiForums Tanzania Naonekana sina faida ndani ya CHADEMA, nimeng'oka rasmi kuanzia leo

    Safi sana Mkuu mi husema kuwa vijana wenzangu wa chadema wamepotea muda unaruhusu wa kurudi kundini.
Back
Top Bottom