Recent content by Migatogubiswe

  1. M

    Serikali iache kutujazia tozo kufidia matanuzi yao

    Dawa ni kufanya biashara za magendo tu, hizo hazina Kodi.
  2. M

    Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

    Tuliooa kabla ya ushauri wako tufanyaje?
  3. M

    Kulikoni Waziri Liberata Mulamula! Au Ameparura Mahali?

    Labda ni mjamzito.natania
  4. M

    Rais Samia tukumbuke watumishi wa NIDA

    Bora mngefukuzwa wote tu,kazi mnafanya kama konokono harafu mkumbukwe Kwa lipi?
  5. M

    Jicho la kisheria kuhusu uhalali wa barua ya Spika Ndugai kujiuzulu

    Siamtume hata bodaboda akaichukue kutoka Kwa katibu wa ccm,ipelekwe huko Kwa katibu wa bunge? kwani shida Iko wapi?
  6. M

    Naomba Ushauri: Napoteza pesa mno nahisi kuchezewa

    Kama kweli umesoma Hadi chuo kikuu halafu bado unategemea waganga wa kienyeji na kamali,basi hata ukishauriwa humu itakuwa kazi bure
  7. M

    Naomba ushauri: Nahisi kuibiwa na wahudumu wa Halotel

    Duh! Hapo kweli Kuna dalili ya kupigwa.labda uende na huyo jamaa Yako kwenye ofisi zao,ili wakazibitishe deni lake.
Back
Top Bottom