Recent content by middle 8

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi First year kafariki leo tar12 Mkwawa constituent clg of Dar

    mungu ailaze roho yake mahali pema peponi,AMINA
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nisaidieni mawazo jamani nakaribia kumla kichuri huyu doctor.

    sikushauri umfanyie jambo lolote baya ila kama ameonesha ujeuri basi ww fuata njia halali za kisheria ktk kutafuta haki yako
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania mazee nimfanye nini huyu......!!!!!!

    kuna msichana alikua mtu wangu kwa miaka kadhaa iliyopita na nilikuja tengana nae baada ya yy kunibwaga kwa madai kwamba alikua anapoteza muda kwa kuwa na mm.Kwa kweli niliumia sana coz nilikua nikimpenda kwa dhati but niliamua kuachana nae na kuendelea kukomaa na kitabu,cha kushangaza msichana...
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania binti anatafutwa

    nashukuru kwa ushauri wako:smile:
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania binti anatafutwa

    mm ni kijana mtanzania,ninasoma chuo kikuu cha mkwawa namtafuta mrembo wa kubadilishana nae mawazo
Back
Top Bottom