Miaka 8 iliyopita RICHMOND ilitaka kusambaratisha nchi maandamano kila kona ya nchi ccm ikaona isiwe tabu ikamtengeneza BABU wa rolihondo ilikuamisha fikra za watu na kweli walifanikiwa japo wameumiza watu wengi na ushenzi ule Sasa wameona jiwe lile LA RICHMOND ndio litumike ;haoa lazima...
Hivi nyie mnalipwa kiasi gani kueneza habari za uzushi kua MZA hawataki kusikia habari za chadema njaa itawaumbua fanyakazi kijana acha longolongo na kushinda kwa matata
Muda sio mrefu tutajua kias alichopokea na waliko mficha amesahau wanaomtumia sio binadamu wa kawaida mission yao ikikwama watadai chao anatumika kama condom bila kujitambua
Slaa alishajipambanua ni NYOKA wa aina gani baada ya kuasi dini dhambi hiyo itamtafuna peke yake wenzie walimwamin kama mwanamapinduzi Kumbe bora hata NYOKA wa makengeza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.