Recent content by Micro E coli

  1. Micro E coli

    JamiiForums Tanzania Serikali iseme ukweli, ni wanasiasa gani wamekwenda Canada kuzuia ndege?

    Kujitakia ndio nini ukijenga Barabara chini ya kiwango na waziri akaipokea hivyo hivyo inakuwapoa au nikujitakia?Lissu anatia mashaka sana kushirikiana na wazungu ndege ya kwanza na ya pili zilitengenezwa huko huko Canada hazikukamatwa,Lissu kutaka kuikwamisha serikali kulifufua shirika letu...
  2. Micro E coli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa

    Mpime ngoma then piga mzigo wa hatari mpaka akuamkie mininae mmoja SAA hizi tuna watoto wawili maisha raha mstarehe. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Micro E coli

    JamiiForums Tanzania Carina TI

    Nahitaji Carina Ti iwekwenye hali nzuri Number C au D Nina budget ya Tsh million tano Mwenye nayo ani inbox. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Micro E coli

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara waliokopa Benki ya Twiga mali zao zaanza kukamatwa

    huo ni uchumi uchwara tuliokuwa nao watu wanakopa hawalipi wanakuza biashara zao bila kurejesha,hiki sasa ndio kipindi cha mpito cha watu hawa ndio wajue kufuata principles za biashara na mikopo sio ujanjaujanja.
  5. Micro E coli

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara waliokopa Benki ya Twiga mali zao zaanza kukamatwa

    Mmezoea vya dezo fanyeni kazi acheni kuishi kwa ujanjaujanja
  6. Micro E coli

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara waliokopa Benki ya Twiga mali zao zaanza kukamatwa

    mmezoea kupata Wateja wapigaji sasa hii biashara unayofanya sasa hivi ndio halali sasa ya mwanzo sio
  7. Micro E coli

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amteua RAS wa Kagera, Jaji Warioba aukwaa Ukuu wa Chuo SUA

    Acha kupopoma fanyakazi wewe
  8. Micro E coli

    JamiiForums Tanzania Mr. President, Ulisema tukuombee lakini Hustahili...(1kor 15:26)

    Nyie Majizi na wenzio ukitaka muwaibie wananchi halafu mmbelembelezwe kufukuzwa,safari hii mlio Zoe kuishi kwa ujanjaujanja mmekwama,kutaendea kuwatimua tu,nahilo kubwa la majizi Mamvi nalo bado muda wake,hatutabembeleza mwizi!
  9. Micro E coli

    JamiiForums Tanzania TV4Sale Tv flat screen LG inch 50 used inauzwa

    Weka wazi tapeli nini?tulishatapeliwa sana na watu kama nyinyi!?
  10. Micro E coli

    JamiiForums Tanzania TV4Sale Tv flat screen LG inch 50 used inauzwa

  11. Micro E coli

    JamiiForums Tanzania Shirika la Elimu Kibaha kuchunguzwa

    Yeah wana miliki hospital ya tumbi,shule ya sec kibaha,miradi ya kuku,chuo cha utabibu kibaha!
  12. Micro E coli

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Magufuli inajiandalia anguko kama sio aibu siku zijazo

    Mlio zoea maisha ya ujanja ujanja mtanyooka tu.
  13. Micro E coli

    JamiiForums Tanzania "Ole wako uzitumie vibaya" haikuwa kauli sahihi kutoka kwa rais kumueleza Meck Sadick hadharani!

    Hizo tembe sisi hazituhusu sisi tunataka maendeleo tu na atimize ahadi zake dawa tupate,maji,umeme sijui Rais kala wali,tembe,sijui maharage haituhusu lete issues.
  14. Micro E coli

    JamiiForums Tanzania Hii ndio simu ghali zaidi duniani

    inachoo humohumo nini hiyo simu ukiwanayo haufi eeeh?
  15. Micro E coli

    JamiiForums Tanzania Sura za hawa watu hazifanani na kutungua helikopta

    mkuu nakuunga mkono saikolojia tu inagoma kuuaminisha ubongo wangu jangili mwenye mawazo pevu ya kushusha ndege si hohehahe watu wadili kubwa si hohehahe mkuu
Back
Top Bottom