Recent content by MicJay

  1. MicJay

    Waziri Ndalichako awatimua Chuo walimu wa mafunzo waliompiga mwanafunzi shule ya Kutwa Mbeya

    Mi nafikiri japo sheria zipo kuna haja ya kutumia ule msemo wa kwenye Biblia "Jino kwa Jino" Hawa Walimu 5 nao waundiwe tume ya Mibaba 25 wanyanyua vitu vizito ambao tutawagawa kwenye makundi 5,Hapo kila mwalimu atakuwa amepata Mibaba mi5 itakayompa kichapo kitakatifu.Na baada ya hapo zifuatwe...
  2. MicJay

    Waziri Ndalichako awatimua Chuo walimu wa mafunzo waliompiga mwanafunzi shule ya Kutwa Mbeya

    Mi nafikiri japo sheria zipo kuna haja ya kutumia ule msemo wa kwenye Biblia "Jino kwa Jino" Hawa Walimu 5 nao waundiwe tume ya Mibaba 25 wanyanyua vitu vizito ambao tutawagawa kwenye makundi 5,Hapo kila mwalimu atakuwa amepata Mibaba mi5 itakayompa kichapo kitakatifu.Na baada ya hapo zifuatwe...
  3. MicJay

    Magufuli: Nimefurahi sana kusikia madereva wa malori wamekosa mizigo, barabara zitapona

    Awamu hii hatuna cha kujutia kuhusu wananchi,yote haya Kupanda kwa VAT benk na miamala ya simu,Uhakiki wa wanafunzi hewa na wafanyakazi hewa usio na kikomo,kusitisha ajira,Mizigo kupungua bandarini,Kuhamia Dodoma,Ujenzi wa Uwanja wa ndege Chato,Ununuzi wa ndege,Madereva kukosa mizigo ili...
  4. MicJay

    Gharama za safari ya Lowassa Bukoba ni kubwa kuliko mchango aliotoa (mifuko 400 ya saruji=6M)

    Huyu jamaa tunajua mnaogopa hata kivuli chake,ni habari mbaya sana kwa wana Lumumba.
  5. MicJay

    CUF: Msajili wa Vyama hana Mamlaka kutoa ushauri, msimamo au mwongozo kwa vyama vya siasa

    Hongereni CCM,kwa mbinu zenu.Naona mnashambulia nje,ndani.
  6. MicJay

    Kati ya Airbus, Boeing na Bomardier ni ndege zipi zinaongoza kwa ajali?

    Acha tuendelee kubana matumizi,tutanunua mnayohitaji.
  7. MicJay

    Siri ya kuruhusu mikutano ya siasa yatajwa

    Elimu bure kwa wapiga kura.Polis wanalipwa na serikali iliyopo madarakan japo n kodi za wananchi wote nyie mnadhani watafuata maagizo ya nani? Na bado CCM wakihitaji kufanya mikutano ya hadhara watakwambia Hali ya amani ipo sawa mikutano ya hadhara ruksa.
  8. MicJay

    Kwa Kusimamia Maadili ya Nchi Sasa Hafai maana anazidi Kutugawa!

    Tuliambiwa Elimu bure,mlidhani ni kwa watoto wetu tu.Hii Elimu bure hata kwa wapiga kura.Na ni Elimu kwa Vitendo. Naishia hapa.7m. sina
  9. MicJay

    Prof. Benno Ndulu: Hakuna mdororo wa uchumi. Uchumi wa Tanzania unaendelea kukua...

    Tusichangie Maada kwa ushabiki,Hali uchumi kupanda au kushuka kila mmoja aangalie kwenye familia yake na majirani zake,ndipo mtajua takwimu zinaweza kusema Uchumi umepanda kwa 100% lakn ukaendelea kuona watu wakishindia mlo mmoja.
  10. MicJay

    Udhalilishwaji huu uliofanywa na Mnyika kwa walimu haukubaliki hata kidogo

    Nchi hii inakumbatia sana watu waongo,ukisema ukweli jamii lazima ikuchukie.Ukweli ni kwamba walimu wetu wengi ni maskin.Mshahara anaochukua wote unapotelea kwenye maden ya mwez uliopita.
  11. MicJay

    TRA yakusanya trilion 1.158 kwa mwezi Agosti na kuvuka lengo, Kariakoo kuwa mkoa maalum wa kodi

    Taarifa kama hizi ni Muhimu kwa Mtendaji yeyote wa Serikali ambae anajijua ameteuliwa.Wanajua nini Mtukufu anapenda kukisikia. Hizo ni Data za kupalilia Kibarua kisiote Nyasi na sina Imani kama kuna ukweli hapo.
  12. MicJay

    Bado wapo wenye imani na CHADEMA?

    Huo ni mchezo wa Draft,unachezwa na wakubwa wetu.Sie ni watazamaji wa mchezo kimoyomoyo tunasema "angecheza pale angekula" lkn mawazo yetu n tofauti na anaecheza kwani yeye ameiona KETE nyingine atakayokula bila kuliwa. Binafs bado ninaimani na CHADEMA,naamini hawajakurupuka kwa maamuzi...
  13. MicJay

    Masoud Kipanya Uhuru Umezidi Mipaka

    Mtumie hiyo picha na kifupi cha hayo maneno waziri wa habari,Ili afanye ulilokusudia.
  14. MicJay

    Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

    Hilo ndilo lengo la Kubadirisha mkuu wa mkoa siku chache kabla ya 1st/9.Mtukufu alihitaji mkuu wa mkoa kama huyo ili akamdhibiti Lema.Naamini jua halitazama watakuwa washamwachia.Tofauti na hapo,vyombo vya usalama vinazidi kujiongezea chuki kwa raia wao.
  15. MicJay

    Usahihi wa Taarifa ya Freeman Mbowe Kusafiri nje ya Nchi kabla ya Septemba Mosi

    Uvccm roho inawauma kuona mission yenu imefail,mmegeukia kwa mtoa mada kuwa anatoa taarifa kama nani? Kwani #Pasco ni nani kutoa taarifa kuwa mwenyekiti wa CDM taifa atasafiri 28.9.2016? Tulieni dawa iwaingie
Back
Top Bottom