Kumbe bado tuna watu wenye mawazo ya kumbanisha vyuo pole sana kama mmechaguliwa vyuo kufuta majina sio kwenda kusoma na kutafakari namna ya kupambana na changamoto zinazo tukabiri vijana,najua mtakuja elewa baada ya kumaliza hivyo vyuo vyenu mnavyo tukuza na kuanza kuangaika na Bahasha mtaani...
Sawa mkuu! lakini naomba utumie busara kumshauri mtu tusije tukafanya jukwa kuwa fb nafikiri umenielewa kwenye maelezo yangu kwenye post kama inakuhusu unaweza kuchangia.
Kwa yoyote aliye chaguliwa chuo cha kndi Dar ita naomba tutafutane mimi ninashida ya hostel sijui zinatosha au nianze mchakato wa kusearch room Mikocheni B.Tafadhari mwenye kujua au anayepiga pale anijulishe.
Jamani mnatuchafulia jukwaa mimi nafikiri wanaoingia huku ni watu wenye busara na maono sasa sijui vichaa wanatokea wapi? Nafikiri wanajanvi hawa wafunguliwe Milembe forum.
Naomba msaada wana janv mimi nimetumia chndarua baada ya siku naona naota vipele sehemu mbali mbali za mwili hasa mkono mmoja ambao nilikuwa nimeuweka kwenye chandarua kwa sababu nilikuwa sikichomeki kitanda kikubwa na upele kama hauna husaa mwingi.
Hilo si tatizo la kulaumu serikali maana hopo ni tatizo la watoto wenyewe na wakuu wa shule husika.Serikali imeweka vigezo lazima vifuatwe kama wameenda kinyume na taratibu kaz kwa wazaz kuwaburuza wakuu wa shule mahakamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.