Na Michael K. Phiri
Habari ya kazi kwa wale wafanyakazi wote uwe mkulima, mvuvi, nk.
Leo napenda kuzungumza na wapenda demokrasia wa hapa nchini kwetu, hasa vyama vya siasa na wanachama wake, mara nyingi nimekuwa nikisikia lawama nap engine kuona maandamano ambayo kwa kiasi kikubwa yamekuwa...
Wengi tumekuwa tukistaajabu juu ya hali ya siasa wilayani Ludewa kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) hasa kwa iki kinachoendelea mitandaoni kwa kuchafuana na kupandikiza chuki zisizo kuwa na msingi.
Kuna mtu ambaye ajitambui aliweka hapa JF jambo la uongo linalolenga kukiua...
habari nilizozipata ivi punde zinasema babu seya kaachiliwa huru
naomba usibitisho jamani
==========
TAHADHARI: UVUMI SI WA KWELI
Picha inayosambazwa kwenye mitandao ni ya Oktoba 2013 wakati wakitoka Mahakamani pia tetesi hizi si za kweli.
Kilichosambazwa na blogs nyingi ni mipango yao...
Siwezi kuwa hopeless kwa sababu moja tu
1. umesema GF ni mahali pa kuchambua mada tata na zenye kufikilisha ubongo
Je! unajiona uko sahihi au mimi niko sahihi?
nimekuwekea mada ya kukufanya ufikilishe kichwa kama wewe unavyotaka, umenichukia. Ndugu yangu kufikilisha kichwa sio sawa na kusema...
Pongezi zako mkuu kwa kuwadadavulia wale wengi waliokimbia somo letu la Lugha ya taifa, mimi nimebaki nashangaa! kulikoni! mbona gari imepita kwa speed na kisha ina rudi tyre zimepasuka? Ni kweli Mh balozi katusahau tuliomchagua na kuamua kuwasikiliza ndugu zake na aliowateua kumsaidia kazi...
Kiongozi unaonekana una ubongo mdogo wa kufikiri au upeo wako ni mdogo, wewe mwenyewe kwa mkono wako umeandika "GF ni mahali pa kuchambua mada tata na zenye kuufikirisha ubongo" unashindwaje kuchambua mada yeye wepesi kama hii? mada ambayo tayari kwa upeo wangu naona iko wazi sana, pole kwa...
Mungu asaidie ujumbe huu umfikie Mh Balozi, nilimpigia kura kwa moyo wangu wote sasa mbona tulichomwambia afanye hafanyi badala yake anatumiwa na Wanafamilia weke? anashauliwaje na wazee masuala ya vx wakati zamani hazikuwepo? hao wazee wanazijulia wapi? wakati hata izo vx hawana?
Washauri siku zote wamekuwa ni watu wabaya hasa wanaokushauri wewe ndugu yetu na rafiki yetu mpendwa, kumbuka sisi wananchi ndo tumekupa ubalozi wa kijiji chetu, kwa kura zetu na tukaona unatufaa kwa kuwa ni mwenye huruma na mali zetu, tulishangaa sana kuona kila tunalokuambia la kuleta...
Mara nyingi nimekuwa nikisikia tetesi kuhusu serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kuzurumiwa meli MV Mapinduzi, na mimi sina uhakika nalo naomba Wazanzibar mtujuze Watanganyika meli hii iko wapi?
nauza toyota Rav 4
ni milango mitano
iko katika ali nzuri
bei ni Tshs 8.5m
ni Automatic
engine aina ya 3s cc1998
ya mwaka 2000
kwa mawasiliano zaidi
piga simu number 0753800808
au 0712464666
au 0262790003
au email: michaelnyalusi@live.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.