Kutokana na hali iluvyo kwa chama tawala kimesahau kabisa na kuwa kama walikuwa wapinzani kwa miaka 54 iliyoputa, kampeni chafu wanafanya wao, jukwaani wanawataja CHADEMA mda mrefu baada ya kueleza Sera Zao, wanaanza kuzihubiri Sera za wapinzani na kusahau Zao, Dk. Magufuli asema...
Lizaboni
Nijifunze kuandikà kwani haujaelewa nn hapo. Mara nying mgombea anasema atakijenga chama Eld alisema siku moja tu kuwa atashughulikia kesi ya babu seya
Nimemsikia Mara kadhaa ndugu JOHN P MAGUFULI akisema akichaguliwa atakijenga chama kwa kuwafukuza watendaji wazembe, nilichofikilia kumbe mgombea urais anajua kabisa kuwa chama chake kimebomoka na hao waliokibomoa ndio wanaomsaidia katika kampeni swali je atawezaje kumbadilisha/ kusikilizwa na...
Hakuna kiongozi wa ccm ambaye ataweza kuwa kuisafisha ccm vigogo asilimia kubwa wanaomsaidia ni mafisadi, siamini kama umesomeshwa kwa gongo ukawa police alafu ukaenda kumfunga aliyekusomesha kisa anauza gongo
At sm time
Kikwete: Nchi yetu imepata mafanikio sana katika uongozi wangu mpaka tumefika hapa.
Magufuli : Mafisadi wameharibu nchi yetu na kudumaza maendeleo mpaka tumefika hapa nitawashughulikia.
Ndugu Magufuli hata kama msafi hawezi kumfukuza migiro, hawezi kumfukuza change, Hawezi kutuletea katiba yetu waliyoipinga, hawezi kusema nani anadhamini tembo kuwawa, hawezi kutuambia kwa nn mikataba ya dharula, kwa hiyo bora tu ukawa Haina jinsi
Lowassa anaweza kufanya mdahalo na magufuli labda hao wengine wawatafute saiz yao wafanye nao mdahalo maana wanatafuta kiki waje kusema nimefanya mdahalo na rais
Haina jinsi cdm ndo hiyo ikulu inaenda kama unaburuzwa kata kamba uende huko nachojua wezi mia ni rahis kumbadilisha mwema mmoja kuwa mwizi kuliko mwizi mmoja kubadilisha wezi mia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.