Recent content by MICHAEL JACKSONN

  1. MICHAEL JACKSONN

    Dar: Kutokana na Hali ngumu ya Uchumi Maduka Mengi yaanza kufungwa kwa kishindo

    we nguchiro na wenzako ndio mlikiwa wa kwanza kusema magu anaharibu kila kitu kwa sasa mnapumua,sijui ilikuwa ni kupumua kwa kiungo cha chini!!!
  2. MICHAEL JACKSONN

    Kenya2022 Jinsi laana ya kuunga mkono Udikteta wa Magufuli ilivyomwangusha Raila Odinga

    huwa nakwambia kila siku,tofauti yako na kuku ni kwamba kuku anakumbuka banda lake giza likiingia.
  3. MICHAEL JACKSONN

    Kenya2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

    tukisema demokrasia afrika bado ni koti refu mnaitaja kenya.haya sasa. Mungu epusha hawa watu wasianze kuuana.
  4. MICHAEL JACKSONN

    Uniform za Polisi wa Kenya ni zipi haswa? Naombeni ufafanuzi

    kimbati kwa juu ni sehemu ya uniform za polisi wa kenya,lakini chini huvaa green kama wa kwetu tanzania.hao ni GSU ni kama FFU Tanzania. wale wengine huvaa blue ambao ni sawa na wanaovaa khaki huku tanzania.
  5. MICHAEL JACKSONN

    iPhone kuonesha asilimia za betri

    battery percent IOS iko kitambo,sasa inakwenda kuonekana ndani ya bettry ktk IOS 16 update, tofauti na mwanzo ilikuwa inakaa pembeni,labda useme wameitoa androidi utaeleweka. hapana sio kweli,Apple wana cable type C inayofahamika kama thunderbolt ina kasi nzuri sana lakini kwa kifaa cha apple...
  6. MICHAEL JACKSONN

    iPhone kuonesha asilimia za betri

    wewe na mletamada tofauti yenu ni mashati tu. yeye hajatumia iphone wewe umetumia ukawa mnazi wa iphone. nani kakwambia hakuna simu tamu android?? utamu unauona kwenye iphone sababu akili yako umeilaza hapo,embu shika simu nyingine ukague kidogo.
  7. MICHAEL JACKSONN

    Kenya2022 Ruto: Kura zinapigwa ili kujua matakwa ya watu lakini uamuzi wa mshindi hufanywa na Mungu(Mithali 16:33)

    Ni kweli. maana hata waovu wakiweka mtu wao ni Mungu karuhusu hilo litokee na si vinginevyo.
  8. MICHAEL JACKSONN

    Kenya2022 Vurugu zanukia Kenya, mawakala wa Odinga waishtumu tume kufanya uhalifu

    angalia hizi njemba za kijaluo uje uziambie sio baba mshindi🤔🤔🤔 mhhh,Mungu aepushe machafuko.
  9. MICHAEL JACKSONN

    Kenya2022 Vurugu zanukia Kenya, mawakala wa Odinga waishtumu tume kufanya uhalifu

    yah mimi ni mtz,kwetu amani na utulivu kwanza mengine baadae,hatupendi kuona watu wanauana kisa mwenzao mmoja anakwenda kula mema ya nchi yao akiitwa rais. taahira na mwendawazimu hana anachohofia maishani hapa.hata aambiwe usikalie tawi kavu unaweza anguka anaanza kucheka cheka tu. toka...
  10. MICHAEL JACKSONN

    Kenya2022 Vurugu zanukia Kenya, mawakala wa Odinga waishtumu tume kufanya uhalifu

    demoktasia africa ni koti la bati😂😂😂 baridi kali unaganda,joto jingi unaiva.
  11. MICHAEL JACKSONN

    Kenya2022 Vurugu zanukia Kenya, mawakala wa Odinga waishtumu tume kufanya uhalifu

    hii ni sifa ya mtu,kama anayo anapewa.wewe unayo. hii ndio point ya mleta mada,matokeo ya uchaguzi sio oda ya pombe kali unayoagiza kwamba ikichelewa hakuna shida,sijui hata unajua vihatarishi vya kiusalama wewe,au umesshashiba hapo unasinzia tu. swala la kuhoji au kutohoji liangaliwe kuliko...
  12. MICHAEL JACKSONN

    Kwa huu uchaguzi wa Kenya, familia na wapenzi wa Hayati Magufuli muombeeni toba mpendwa wenu

    hapa umeandika kama mchepuko wa mtoa hukumu ama nyumba ndogo.
  13. MICHAEL JACKSONN

    Kenya2022 Vurugu zanukia Kenya, mawakala wa Odinga waishtumu tume kufanya uhalifu

    wewe ni mpumbavu bana. yaani kwako uchaguzi akipotea mpinzani ndio unakuwa wa hovyo!!! watu wanatahadhalisha mwenendo wa kusita sita kitangaza unaweza kuzua balaa wewe unakuja na hizi pumba zako za kusifia ujinga kisa umetokea kenya!!! wakitangaza mapema kukawa na utulivu si ndio vyema sasa...
Back
Top Bottom