Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,907
- 6,697
Iphone a.k.a Gereza la kifahari inaenda kuwekewa asilimia za betri ziwe zinaonekana, zamani ilikuwa unakadiria.
Thanks.
Android haya mambo yapo kitambo,, halafu hata zile usb cable eti kwa sasa wamegundua hazina nguvu, hazina spidi ya kutransfer mafaili na sio imara kwa hio wataanza kutengeneza iphone zenye matundu ya USB C kama android
Mambo ya gereza la kifahari haya.. Zamani utawasikia "mimi asilimia za chaji za nini ?" leo hii wanasifia, Zamani utasikia "mimi cable yangu sina haraka kwenye kuchaji au kuhamisha mafaili" leo hii wanasifia iphone kutumia cable za Android
Thanks.
Android haya mambo yapo kitambo,, halafu hata zile usb cable eti kwa sasa wamegundua hazina nguvu, hazina spidi ya kutransfer mafaili na sio imara kwa hio wataanza kutengeneza iphone zenye matundu ya USB C kama android
Mambo ya gereza la kifahari haya.. Zamani utawasikia "mimi asilimia za chaji za nini ?" leo hii wanasifia, Zamani utasikia "mimi cable yangu sina haraka kwenye kuchaji au kuhamisha mafaili" leo hii wanasifia iphone kutumia cable za Android