Mkuu ushauri ni mzuri sana unaponunua gari usiangalie namba kwanza kuna factors nyingi za kuconsider, Angalia Mileage, Physical appearance ya gari, engine fanya testing usikilize engine...
ukiwa na mil 9 au 10 unapata Vitz au Raum kutoka Japan
Kama hujui kitu ni bora unyamaze brother, kanzu ni vazi la Kiarabu na alivaa alipoenda Qatar mwaka jana,
Huyu jamaa ni mkristo safi sana na kumwacha Yesu ni ngumu, kama ilivyo jina lake "EMMANUEL"...
MFUATILIE ZAIDI HAPA OFFICIAL PAGE YAKE: Manny Pacquiao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.