Unaweza kupiga kura ya urais popote pale hata kama sipo ulipojiandikisha?

kilimajoy

Senior Member
Oct 31, 2010
132
7
Hello wana JF,

Nilikutana na marafiki zangu wakiwa wamejiandikisha kwenye vituo tofuati na wanavyoishi wengi wakidai kuhusu foleni na changamoto zilizokuwepo kwenye zoezi la uandikishaji. Kwa hiyo wengi wakaamua kujiandikishia kwenye vituo ambavyo waliona havina watu wengi. Nilipowauliza kama wana mpango wa kupiga kura wakasema watapiga tuu kura ya Rais kwenye kituo chochote. Mimi niliposikia wanasema watapiga kura ya Rais nikajiuliza how can this be possible wakati sio kituo chako?

Ili tuweze kujua kama kweli unaweza kupiga kura ya urais popote hata kama sio pale ulipojiandikisha unatakiwa tujijibu maswali kadhaa. Kwanza ufafanuzi niliowahi kusikisikia kwenye TV ukitolewa na Tume kuhusu siku ya uchaguzi ni upigaji kura utakua kama ilivyokua zamani kwa maana hiyo sio kwa njia ya kieletroniki. Tutapiga kura kama zamani ambapo utaenda na kitambulisho chako, wataangalia kama jina lako lipo kwenye hicho kituo halafu utapiga kura, na kama halipo basi huruhusiwi kupiga kura.

Swali la kwanza, kwa nini wanahakikisha jina lako lipo kwenye kituo? Ikumbukwe ili uweze kupiga kura lazima kuwe na zile polling paper kwa ajili yako kwenye wale wote wanaopigiwa kura, iwe ni rais, mbunge au diwani. Kwa maana hiyo, yale majina na idadi yake yanawafanya Tume waweze kujua ni polling paper ngapi wanatakiwa kuzipeleka pale kwenye kituo. Wasipojua idadi ya watu hawawezi kujua ni karatasi ngapi za kupigia kura wazipeleke pale. Kwa maelezo hayo, ina maana kama jina lako halipo pale kwenye kituo huwezi kupiga kura kwani karatasi yako haiwezi kupatikana.

Swali la pili. Itakuaje tuweze kupiga kura urais kwenye kituo chochote hatuoni ya kwamba kuna uwezekano wa kuchakachua mkubwa? Nina maana ya kwamba, kama tukiruhusiwa kupiga kura kwenye kituo chochote ambapo hata jina langu halipo wale jamaa wanaweza kuongeza kura zao kwenye sanduku na wakasema ni watu ambao hawakuwepo kwenye kituo hiki walipiga kura. Na itawafanya watu wazunguke mjini wakipiga kura za urais kwenye kila kituo na kuondoka. Kwani tunajua ni lazima kura zisizidi idadi ya watu waliopo kwenye lile daftari la kituo, ina maana kama ukiruhusu watu wengine, ile control ya namba za wapiga kura unaiiondoa na watu tutapigwa kama kawaida.

Ninachofahamu hapo awali kulikua na utaratibu wa Tume ya taifa ya uchaguzi kutoa fursa ya sisi kubadilisha kituo kile nilichojiandikishia kabla ya siku ya kupiga kura. Kuna watu wanasafiri au kuhamia sehemu nyingine, kwa kipndi kile tulikua tunabadilishiwa kituo na jina lako linapelekwa kwenye kile kituo kipwa. Sijui kwa mwaka huu itakuaje kutokana na muda tulionao kwa sasa. Cha msingi labda tume watatusaidia kujua kwa sisi tuliojiandikisha vituo vya mbali na tunapoishi tutafanyaje ili tuhamishiwe kwenye vituo vya karibu.

Wadau ndo niliona nichangie kwenye hili nililokutana nalo.
 
Hutaweza piga kura nje ya ulipojiansikisha kwa mifumo ile ya kizaman kwa maana mpk daftar liwepo na details zako ziwepo katika eneo husiika na si vinginevyo
 
Nijuavyo mimi unaeza kupiga kura ya uraisi popote pale ulipo tz

Kwa staili hip mkuu? Maana utaratibu ni kuwa kuwa kila kituo kitakuwa na madaftar yake yenye watu waliojiandikisha palepale, daftar likiwa na namba na picha yako, jina na namba ya kitambulisho so unapienda kituo kingine ambacho hukujiandikisha vitu hivo utavipataje? issue hiyo haiwezekani kabisa na nakumbuka ata ijuu iliyopita mkurugenz wa Tecnohama wa Tume ya Uchaguzi alizungumzia hili kwenye kipindi cha kipima joto ITV
 
Kwa staili hip mkuu? Maana utaratibu ni kuwa kuwa kila kituo kitakuwa na madaftar yake yenye watu waliojiandikisha palepale, daftar likiwa na namba na picha yako, jina na namba ya kitambulisho so unapienda kituo kingine ambacho hukujiandikisha vitu hivo utavipataje? issue hiyo haiwezekani kabisa na nakumbuka ata ijuu iliyopita mkurugenz wa Tecnohama wa Tume ya Uchaguzi alizungumzia hili kwenye kipindi cha kipima joto ITV

Hukuona ile fomu yako iliskaniwa mkuu, saivi tunapiga kura kidijitali popote ulipo info zako zipo
 
Hello wana JF,

Nilikutana na marafiki zangu wakiwa wamejiandikisha kwenye vituo tofuati na wanavyoishi wengi wakidai kuhusu foleni na changamoto zilizokuwepo kwenye zoezi la uandikishaji. Kwa hiyo wengi wakaamua kujiandikishia kwenye vituo ambavyo waliona havina watu wengi. Nilipowauliza kama wana mpango wa kupiga kura wakasema watapiga tuu kura ya Rais kwenye kituo chochote. Mimi niliposikia wanasema watapiga kura ya Rais nikajiuliza how can this be possible wakati sio kituo chako?

Ili tuweze kujua kama kweli unaweza kupiga kura ya urais popote hata kama sio pale ulipojiandikisha unatakiwa tujijibu maswali kadhaa. Kwanza ufafanuzi niliowahi kusikisikia kwenye TV ukitolewa na Tume kuhusu siku ya uchaguzi ni upigaji kura utakua kama ilivyokua zamani kwa maana hiyo sio kwa njia ya kieletroniki. Tutapiga kura kama zamani ambapo utaenda na kitambulisho chako, wataangalia kama jina lako lipo kwenye hicho kituo halafu utapiga kura, na kama halipo basi huruhusiwi kupiga kura.

Swali la kwanza, kwa nini wanahakikisha jina lako lipo kwenye kituo? Ikumbukwe ili uweze kupiga kura lazima kuwe na zile polling paper kwa ajili yako kwenye wale wote wanaopigiwa kura, iwe ni rais, mbunge au diwani. Kwa maana hiyo, yale majina na idadi yake yanawafanya Tume waweze kujua ni polling paper ngapi wanatakiwa kuzipeleka pale kwenye kituo. Wasipojua idadi ya watu hawawezi kujua ni karatasi ngapi za kupigia kura wazipeleke pale. Kwa maelezo hayo, ina maana kama jina lako halipo pale kwenye kituo huwezi kupiga kura kwani karatasi yako haiwezi kupatikana.
Swali la pili. Itakuaje tuweze kupiga kura urais kwenye kituo chochote hatuoni ya kwamba kuna uwezekano wa kuchakachua mkubwa? Nina maana ya kwamba, kama tukiruhusiwa kupiga kura kwenye kituo chochote ambapo hata jina langu halipo wale jamaa wanaweza kuongeza kura zao kwenye sanduku na wakasema ni watu ambao hawakuwepo kwenye kituo hiki walipiga kura. Na itawafanya watu wazunguke mjini wakipiga kura za urais kwenye kila kituo na kuondoka. Kwani tunajua ni lazima kura zisizidi idadi ya watu waliopo kwenye lile daftari la kituo, ina maana kama ukiruhusu watu wengine, ile control ya namba za wapiga kura unaiiondoa na watu tutapigwa kama kawaida.

Ninachofahamu hapo awali kulikua na utaratibu wa Tume ya taifa ya uchaguzi kutoa fursa ya sisi kubadilisha kituo kile nilichojiandikishia kabla ya siku ya kupiga kura. Kuna watu wanasafiri au kuhamia sehemu nyingine, kwa kipndi kile tulikua tunabadilishiwa kituo na jina lako linapelekwa kwenye kile kituo kipwa. Sijui kwa mwaka huu itakuaje kutokana na muda tulionao kwa sasa. Cha msingi labda tume watatusaidia kujua kwa sisi tuliojiandikisha vituo vya mbali na tunapoishi tutafanyaje ili tuhamishiwe kwenye vituo vya karibu.

Wadau ndo niliona nichangie kwenye hili nililokutana nalo.

nadhan kuna fomu ambayo utajaza.....inawezekana
 
Tume ya uchaguzi njooni hapa mtoe mwongozo. Naomba mods wasilianeni na Tume ya uchaguzi ili waweke uzi maalum kwa ajili ya kujibu hoja za msingi kama hii.
 
Kwa staili hip mkuu? Maana utaratibu ni kuwa kuwa kila kituo kitakuwa na madaftar yake yenye watu waliojiandikisha palepale, daftar likiwa na namba na picha yako, jina na namba ya kitambulisho so unapienda kituo kingine ambacho hukujiandikisha vitu hivo utavipataje? issue hiyo haiwezekani kabisa na nakumbuka ata ijuu iliyopita mkurugenz wa Tecnohama wa Tume ya Uchaguzi alizungumzia hili kwenye kipindi cha kipima joto ITV

Kama umejiandikisha maeneo tofauti na unapoishi utapiga kura ya urais tu, ubunge na udiwani hautapiga kwani mwenyekiti wa mtaa atashindwa kukutambua ndo maana wanapita kila mtaa kujua wakazi wao.
 
Haitawezekana kiongozi.
Kwa kuwa jina na taarifa zako hazitakuwepo kwenye orodha ya wapiga kura wa kituo hicho kipya kama hautazihamishia hapo.

Ikumbukwe kuwa hatutapiga kura kwa BVR, bali mfumo ule ule wa miaka iliyopita ndo utatumika.
NI MWENDO WA KUTAFUTA JINA UBAONI KISHA KWENYE KITABU MEZANI NDO UNARUHUSIWA KUPIGA KURA.

POLENI WATANZANIA
 
Jana kuna taarifa niliiona mahali kuwa inaruhusiwa mtu kupiga kura kwenye kituo ambacho hakujiandikisha lakini inabidi ajaze fomu n0.17 ambayo atapewa na msimamizi wa kituo husika; kura hiyo itakuwa kama ifuatavyo:1.Kura kwa RAISI tu kama mpiga kura atakuwa katika eneo ambalo sio makazi yake ya kudumu mfn tar 25 unajikuta upo mkoa mwingine tofauti na ulipojiandikishia na hapo sio asili yako.2.Kura zote yaani Diwani,mbunge na raisi kama eneo utakalokuwepo ndio asili yako kwa sababu utakuwa unawafahamu diwani na mbunge kwa eneo hilo.Hayo yote yatawezekana kama utakuwa na kitambulisho cha mpiga kura na pia kujaza fomu no.17Taarifa hiyo naomba uhalali wake toka kwa wahusika.
 
Jana kuna taarifa niliiona mahali kuwa inaruhusiwa mtu kupiga kura kwenye kituo ambacho hakujiandikisha lakini inabidi ajaze fomu n0.17 ambayo atapewa na msimamizi wa kituo husika; kura hiyo itakuwa kama ifuatavyo:1.Kura kwa RAISI tu kama mpiga kura atakuwa katika eneo ambalo sio makazi yake ya kudumu mfn tar 25 unajikuta upo mkoa mwingine tofauti na ulipojiandikishia na hapo sio asili yako.2.Kura zote yaani Diwani,mbunge na raisi kama eneo utakalokuwepo ndio asili yako kwa sababu utakuwa unawafahamu diwani na mbunge kwa eneo hilo.Hayo yote yatawezekana kama utakuwa na kitambulisho cha mpiga kura na pia kujaza fomu no.17Taarifa hiyo naomba uhalali wake toka kwa wahusika.
Wakuu vp hii inawezekana? Nimejiandikisha dar ila nipo dodoma, Sitaki kuacha kuchinja...
 
Hello wana JF,

Nilikutana na marafiki zangu wakiwa wamejiandikisha kwenye vituo tofuati na wanavyoishi wengi wakidai kuhusu foleni na changamoto zilizokuwepo kwenye zoezi la uandikishaji. Kwa hiyo wengi wakaamua kujiandikishia kwenye vituo ambavyo waliona havina watu wengi. Nilipowauliza kama wana mpango wa kupiga kura wakasema watapiga tuu kura ya Rais kwenye kituo chochote. Mimi niliposikia wanasema watapiga kura ya Rais nikajiuliza how can this be possible wakati sio kituo chako?

Ili tuweze kujua kama kweli unaweza kupiga kura ya urais popote hata kama sio pale ulipojiandikisha unatakiwa tujijibu maswali kadhaa. Kwanza ufafanuzi niliowahi kusikisikia kwenye TV ukitolewa na Tume kuhusu siku ya uchaguzi ni upigaji kura utakua kama ilivyokua zamani kwa maana hiyo sio kwa njia ya kieletroniki. Tutapiga kura kama zamani ambapo utaenda na kitambulisho chako, wataangalia kama jina lako lipo kwenye hicho kituo halafu utapiga kura, na kama halipo basi huruhusiwi kupiga kura.

Swali la kwanza, kwa nini wanahakikisha jina lako lipo kwenye kituo? Ikumbukwe ili uweze kupiga kura lazima kuwe na zile polling paper kwa ajili yako kwenye wale wote wanaopigiwa kura, iwe ni rais, mbunge au diwani. Kwa maana hiyo, yale majina na idadi yake yanawafanya Tume waweze kujua ni polling paper ngapi wanatakiwa kuzipeleka pale kwenye kituo. Wasipojua idadi ya watu hawawezi kujua ni karatasi ngapi za kupigia kura wazipeleke pale. Kwa maelezo hayo, ina maana kama jina lako halipo pale kwenye kituo huwezi kupiga kura kwani karatasi yako haiwezi kupatikana.

Swali la pili. Itakuaje tuweze kupiga kura urais kwenye kituo chochote hatuoni ya kwamba kuna uwezekano wa kuchakachua mkubwa? Nina maana ya kwamba, kama tukiruhusiwa kupiga kura kwenye kituo chochote ambapo hata jina langu halipo wale jamaa wanaweza kuongeza kura zao kwenye sanduku na wakasema ni watu ambao hawakuwepo kwenye kituo hiki walipiga kura. Na itawafanya watu wazunguke mjini wakipiga kura za urais kwenye kila kituo na kuondoka. Kwani tunajua ni lazima kura zisizidi idadi ya watu waliopo kwenye lile daftari la kituo, ina maana kama ukiruhusu watu wengine, ile control ya namba za wapiga kura unaiiondoa na watu tutapigwa kama kawaida.

Ninachofahamu hapo awali kulikua na utaratibu wa Tume ya taifa ya uchaguzi kutoa fursa ya sisi kubadilisha kituo kile nilichojiandikishia kabla ya siku ya kupiga kura. Kuna watu wanasafiri au kuhamia sehemu nyingine, kwa kipndi kile tulikua tunabadilishiwa kituo na jina lako linapelekwa kwenye kile kituo kipwa. Sijui kwa mwaka huu itakuaje kutokana na muda tulionao kwa sasa. Cha msingi labda tume watatusaidia kujua kwa sisi tuliojiandikisha vituo vya mbali na tunapoishi tutafanyaje ili tuhamishiwe kwenye vituo vya karibu.

Wadau ndo niliona nichangie kwenye hili nililokutana nalo.

Rais ni wa wote, mbunge/diwani wa kwako katika eneo husika,

Ila kinadharia hapo ndipo walipompigia bao lowassa... Aha Tanzania naipenda
 
Nchi ya Viwanda bila umeme haiwezekani

Chagua Lowasa. Chagua mbunge/diwani wa Ukawa
 
Wakuu vp hii inawezekana? Nimejiandikisha dar ila nipo dodoma, Sitaki kuacha kuchinja...
 
Back
Top Bottom