Ma-daktari na waelevu mliojaa humu JF naomba mnisaidie coz nina tatizo, mnamo mwaka 2010 niliwahi kufanya operesheni ya korodani yangu ya upande wa kushoto baada ya kugundua kuwa imeanza kuvimba . Nilikwenda hospitali nikafanya checkup wakagundua kuwa imeanza kujaa maji hivyo madaktari...
Ndugu zangu habari zenu,
Nimeshangazwa na tabia iliyoanzishwa na mke wangu kuwasha kibatari kwa masaa 24 bila kuzima na huku nyumba tunayoishi inatumia nishati ya umeme.
Mpaka leo naandika kwenu ndugu zangu ni siku ya tano kinawaka tu, mimoshi kibao chumbani nikimuuliza mke wangu ni kwanini...
Ndugu zangu wa JF,
Kwanza niwapongeze kwa ushauri mnaoendelea kunipa kila ninapoingia humu nakushare nanyi yale yanayonisibu katika ndoa yangu, baada ya maneno maneno ya dharau kila siku toka kwa mke wangu na kutoniheshimu, jana nilijikuta namtandika vibao vitatu vitakatifu kabisa.
Lakini cha...
Kumekuwa na kasumba humu ukileta jambo lako ili usaidiwe kimawazo basi wataanza kukunanga na kukuletea maneno ya jeuri eti oooh!Nyie wanaume wa Dar ndivyo mulivyo! Ina maana sisi wanaume tunaoishi Dar mnatudharau kwa lipi haswa kubwa? Kwani matatizo ya kimapenzi huwapata watu wa Dar tu?
Nyie...
Habari zenu wana jf natumai tupo pamoja kama ada yetu! nimekuwa mhanga wa mahusiano ya ndoa yangu kwa muda mrefu sasa na kama mnakumbuka nimeshawahi kuwaomba ushauri humu nanyi kunishauri nawashukuru sana.
Leo naomba tena tushirikiane katika hili ambalo Neil shauliwa na baadhi ya rafiki zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.