Hivi kila Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi anayekuja huwa na madiliko katika sekta ya elimu? Huyu aliyepo sijui kama amefuta utoaji wa vyeti vya darasa la saba. Kuna mwingine alikuwepo akataka watoto wawe wanaenda shule kupumzika kama siyo kulala maana alitaka kufuta masomo yote. Akianzia na...
Tuachie vyombo vya usalama vifanye kazi yake maana humu kila mtu anaongea la kwake ambalo halina ushahidi wa kutosha. Inawezekana kuna kikundi kinachojihusisha na maswala haya ya ulipuaji wa mabomu mjini Arusha.
Sumu, huyu Lema nafikiri ana upungufu wa akili, maana yeye ndiye anayekuwa mbele kuchochea maswala ya udini kama hajui. Mimi nimejaribu sana kumsikiliza maneno yake anayoyasema hayana mantik yeyote. Hawezi kumtukana kiongozi wa nchi kama vile anamtukana mtu wa rika lake tena ambaye siyo...
kweli mimi sikutegemea kama katika chama kikuu cha upinzani ambacho watu wanaona kinaweza kuleta ukombozi katika nchi hii viongozi wake wamegeuka kuwa watu wa malumbano ya kisiasa. Tafadhalini sana msifike kulogana wala kuuana- tumia vikao halali vya chama kusuluhisha haya maana inaonyesha...
Tukumbuke kuwa Mtihani wa darasa la Saba ulifanyika kwa kutumia mfumo unaoitwa OMR [Optical Mark Reader] ili mashine hiyo itumike kusahihishia mtihani. Je kweli wanafunzi hasa huko vijijini walipewa mazoezi ya kutosha ili kufanikisha zoezi hilo? Maana kila Waziri wa Elimu anayekuja lazima aje na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.