Jamani msaada wenu mana kila kukicha nasikia taarifa tofauti sasa kama kuna mwenye taarifa rasmi aniambie kuhusiana na ajira mpya za walimu shule za msingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado sana mtatafuta kila jinsi ya kutakatisha kaniki kuwa nyeupe lakin ni ndoto hayo mapato mliyokuwa mnakusanya kwa hayo mamilioni mbna barabara ndo mbovu kupitiliza!!!!
Mfumo wetu wa elimu tuanoutumia huwa unanipa maswali mengi sana kwa sababu walengwa wa mfumo huu hautujengi kuwa na wazo mbadala zaidi ya ajira serikalini na pia hata ukipata wazo la kujiekeza au kujiajiri bado mtaji wa kujikwamua kiuchumi unakuwa mtihani pia kutokana na hali halisi za maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.