Rais Magufuli futa tawala za serikali za mitaa

BAKOI

JF-Expert Member
Jan 31, 2016
1,213
2,326
MAGUFULI BORA UFUTE TAWALA ZA SERIKALI ZA MITAA

✍Serikali kuu na serikali za mitaa zimekuwa established na Katiba ya JMT. Shabaha kuu ya ugatuaji wa madaraka kutoka serikali kuu kwenda serikali za mitaa ni kurahisisha utoaji huduma. Ili huduma zitolewe lazima halmashauri ziwe na uwezo wa kukusanya mapato.

✍ JPM sasa kaondoa kodi ya majengo badala ya kukusanywa na halmashauri zinakusanywa na TRA. Iringa tuli target kukusanya millions 800. TRA hawajakusanya hata millions 80 kwa mwaka, tulizoletewa ukitia millions mia tulizowapa.

✍JPM kanyang'anya halmashauri ushuru wa mabango. Sasa zinakusanywa na serikali kuu. Sisi Iringa tulivuka lengo la makusanyo tunakaribia millions 400. Chanzo hiki kitaathiri bajeti ya mwaka 2017/18

✍ Serikali kuu imezinyang'anya halmashauri nyumba zote za serikali zilizokuwa kama chanzo cha mapato kwenye halmashauri.

✍Shabaha ya ugatuaji ni kurahisisha kutoa huduma. Serikali kuu imeipora halmashauri kutoa huduma za matengenezo ya barabara ambazo siyo za Tanroads na kuunda TARURA - Tanzania Rural and Urban Road Agency.

Maana yaje nini? Idara za ujenzi kwenye halmashauri zitakuwa sehemu ya wakala. Road Funds zitakuwa zinakwenda TARURA na siyo halmashauri. Tutegemee barabara nyingi kuwa mbovu. Halmashauri kwa sasa haziwajibiki na barabara. Muulizeni Magufuli....

✍ Maagizo ya Magufuli kuja kwenye Local Govt yamekuwa yakisumbua bajeti tulizopanga. Umepanga kutumia Billions 40, halafu anakuletea maagizo ya kutumia Billions 2 tena. MED, CED, DED wanakua hatarini na kuwa chanzo cha migogoro na Council.

✍Ruzuku toka serikali kuu haifiki asilimia 100% kwa halmashauri zote nchi nzima. Tunapata kwa asilimia 60% tena kwa kuchelewa.

✍ JPM ni bora akazivunja tawala za serikali za mitaa kwa sababu anatamani afanye mambo yote mwenyewe

Dady Igogo
Diwani - Gangilonga.
 
Heee
Kama serikali za mitaa ni kero kwa mleta hoja
basi kwangu serikali binafsi ambazo zinapatikana kwenye kichwa cha mtu mmoja yaani uDC na uRC ni janga la balaa
[HASHTAG]#HappyBirthdayToMe[/HASHTAG]
 
kwa hayo uliyosema juu, hata mie nakuunga mkono, maana yake wanakula mishahara tu kazi hawafanyi kama kila kitu wamepokonywa
 
MAGUFULI BORA UFUTE TAWALA ZA SERIKALI ZA MITAA

✍Serikali kuu na serikali za mitaa zimekuwa established na Katiba ya JMT. Shabaha kuu ya ugatuaji wa madaraka kutoka serikali kuu kwenda serikali za mitaa ni kurahisisha utoaji huduma. Ili huduma zitolewe lazima halmashauri ziwe na uwezo wa kukusanya mapato.

✍ JPM sasa kaondoa kodi ya majengo badala ya kukusanywa na halmashauri zinakusanywa na TRA. Iringa tuli target kukusanya millions 800. TRA hawajakusanya hata millions 80 kwa mwaka, tulizoletewa ukitia millions mia tulizowapa.

✍JPM kanyang'anya halmashauri ushuru wa mabango. Sasa zinakusanywa na serikali kuu. Sisi Iringa tulivuka lengo la makusanyo tunakaribia millions 400. Chanzo hiki kitaathiri bajeti ya mwaka 2017/18

✍ Serikali kuu imezinyang'anya halmashauri nyumba zote za serikali zilizokuwa kama chanzo cha mapato kwenye halmashauri.

✍Shabaha ya ugatuaji ni kurahisisha kutoa huduma. Serikali kuu imeipora halmashauri kutoa huduma za matengenezo ya barabara ambazo siyo za Tanroads na kuunda TARURA - Tanzania Rural and Urban Road Agency.

Maana yaje nini? Idara za ujenzi kwenye halmashauri zitakuwa sehemu ya wakala. Road Funds zitakuwa zinakwenda TARURA na siyo halmashauri. Tutegemee barabara nyingi kuwa mbovu. Halmashauri kwa sasa haziwajibiki na barabara. Muulizeni Magufuli....

✍ Maagizo ya Magufuli kuja kwenye Local Govt yamekuwa yakisumbua bajeti tulizopanga. Umepanga kutumia Billions 40, halafu anakuletea maagizo ya kutumia Billions 2 tena. MED, CED, DED wanakua hatarini na kuwa chanzo cha migogoro na Council.

✍Ruzuku toka serikali kuu haifiki asilimia 100% kwa halmashauri zote nchi nzima. Tunapata kwa asilimia 60% tena kwa kuchelewa.

✍ JPM ni bora akazivunja tawala za serikali za mitaa kwa sababu anatamani afanye mambo yote mwenyewe

Dady Igogo
Diwani - Gangilonga.
Wapiga dili wa halmashauri wameshikwa na gadhabu
Teh! Teh! Teh!
 
Bado sana mtatafuta kila jinsi ya kutakatisha kaniki kuwa nyeupe lakin ni ndoto hayo mapato mliyokuwa mnakusanya kwa hayo mamilioni mbna barabara ndo mbovu kupitiliza!!!!
 
Wapiga dili wa halmashauri wameshikwa na gadhabu
Teh! Teh! Teh!
Hao bora wanyimwe tu!! Ni wezi wa kutupwa. Wakurugenzi wa halmashauri na wekazina wao, wamejenga magorofa mengi sana dar, mwanza na mikoa mingine. Hongera JPM kuwanyang'ana hawa mchwa pesa. Washughulikie matatizo ya wananchi
 
MAGUFULI BORA UFUTE TAWALA ZA SERIKALI ZA MITAA

✍Serikali kuu na serikali za mitaa zimekuwa established na Katiba ya JMT. Shabaha kuu ya ugatuaji wa madaraka kutoka serikali kuu kwenda serikali za mitaa ni kurahisisha utoaji huduma. Ili huduma zitolewe lazima halmashauri ziwe na uwezo wa kukusanya mapato.

✍ JPM sasa kaondoa kodi ya majengo badala ya kukusanywa na halmashauri zinakusanywa na TRA. Iringa tuli target kukusanya millions 800. TRA hawajakusanya hata millions 80 kwa mwaka, tulizoletewa ukitia millions mia tulizowapa.

✍JPM kanyang'anya halmashauri ushuru wa mabango. Sasa zinakusanywa na serikali kuu. Sisi Iringa tulivuka lengo la makusanyo tunakaribia millions 400. Chanzo hiki kitaathiri bajeti ya mwaka 2017/18

✍ Serikali kuu imezinyang'anya halmashauri nyumba zote za serikali zilizokuwa kama chanzo cha mapato kwenye halmashauri.

✍Shabaha ya ugatuaji ni kurahisisha kutoa huduma. Serikali kuu imeipora halmashauri kutoa huduma za matengenezo ya barabara ambazo siyo za Tanroads na kuunda TARURA - Tanzania Rural and Urban Road Agency.

Maana yaje nini? Idara za ujenzi kwenye halmashauri zitakuwa sehemu ya wakala. Road Funds zitakuwa zinakwenda TARURA na siyo halmashauri. Tutegemee barabara nyingi kuwa mbovu. Halmashauri kwa sasa haziwajibiki na barabara. Muulizeni Magufuli....

✍ Maagizo ya Magufuli kuja kwenye Local Govt yamekuwa yakisumbua bajeti tulizopanga. Umepanga kutumia Billions 40, halafu anakuletea maagizo ya kutumia Billions 2 tena. MED, CED, DED wanakua hatarini na kuwa chanzo cha migogoro na Council.

✍Ruzuku toka serikali kuu haifiki asilimia 100% kwa halmashauri zote nchi nzima. Tunapata kwa asilimia 60% tena kwa kuchelewa.

✍ JPM ni bora akazivunja tawala za serikali za mitaa kwa sababu anatamani afanye mambo yote mwenyewe

Dady Igogo
Diwani - Gangilonga.
Tatizo lenu ni kwamba mnaiba sana.Kaeni hivyo hivyo serikali itarekebisha,mambo yatakwenda vizuri tu.Ukweli ni kwamba mlitegemewa muwe msaada mkubwa kwenye maendeleo ya wananchi, lakini badala yake mmekuwa kikwazo kikubwa.Ni kweli kuna haja ya kuzifuta halimashauri kama ulivyo shauri.
 
kwa hayo uliyosema juu, hata mie nakuunga mkono, maana yake wanakula mishahara tu kazi hawafanyi kama kila kitu wamepokonywa

Na mimi nakubaliana na mtoa mada.

Kuna athari kama za matangazo kwenye mabango zimeshaanza kuonekana wazi wazi. Mimi niko Moshi, na ukiangalia Billboards karibu zote hazina matangazo! Hata Dar nilipokuwa huko karibuni niliona Billboards nyingi zikiwa tupu.

Zile kampuni kama TBL na Coca Cola ambazo zilikuwa zikitangaza biashara kwa kuchora kwenye majengo zimeamua kufuta baada ya kutokuridhika na kiwango kikubwa cha tozo. Hii ina maana hata kile kilichokuwa kinapatikana sasa havi hakuna.

Ni kampuni chache sana, labda ambazo ndiyo zinaweka bidhaa mpya sokoni zitakubali kubeba hizo gharama kubwa za matangazo.
 
MAGUFULI BORA UFUTE TAWALA ZA SERIKALI ZA MITAA

✍Serikali kuu na serikali za mitaa zimekuwa established na Katiba ya JMT. Shabaha kuu ya ugatuaji wa madaraka kutoka serikali kuu kwenda serikali za mitaa ni kurahisisha utoaji huduma. Ili huduma zitolewe lazima halmashauri ziwe na uwezo wa kukusanya mapato.

✍ JPM sasa kaondoa kodi ya majengo badala ya kukusanywa na halmashauri zinakusanywa na TRA. Iringa tuli target kukusanya millions 800. TRA hawajakusanya hata millions 80 kwa mwaka, tulizoletewa ukitia millions mia tulizowapa.

✍JPM kanyang'anya halmashauri ushuru wa mabango. Sasa zinakusanywa na serikali kuu. Sisi Iringa tulivuka lengo la makusanyo tunakaribia millions 400. Chanzo hiki kitaathiri bajeti ya mwaka 2017/18

✍ Serikali kuu imezinyang'anya halmashauri nyumba zote za serikali zilizokuwa kama chanzo cha mapato kwenye halmashauri.

✍Shabaha ya ugatuaji ni kurahisisha kutoa huduma. Serikali kuu imeipora halmashauri kutoa huduma za matengenezo ya barabara ambazo siyo za Tanroads na kuunda TARURA - Tanzania Rural and Urban Road Agency.

Maana yaje nini? Idara za ujenzi kwenye halmashauri zitakuwa sehemu ya wakala. Road Funds zitakuwa zinakwenda TARURA na siyo halmashauri. Tutegemee barabara nyingi kuwa mbovu. Halmashauri kwa sasa haziwajibiki na barabara. Muulizeni Magufuli....

✍ Maagizo ya Magufuli kuja kwenye Local Govt yamekuwa yakisumbua bajeti tulizopanga. Umepanga kutumia Billions 40, halafu anakuletea maagizo ya kutumia Billions 2 tena. MED, CED, DED wanakua hatarini na kuwa chanzo cha migogoro na Council.

✍Ruzuku toka serikali kuu haifiki asilimia 100% kwa halmashauri zote nchi nzima. Tunapata kwa asilimia 60% tena kwa kuchelewa.

✍ JPM ni bora akazivunja tawala za serikali za mitaa kwa sababu anatamani afanye mambo yote mwenyewe

Dady Igogo
Diwani - Gangilonga.
Nyie ni mchwa hatari sana, JK alikuwa analalamika Halmashauri kumejaa mchwa lakini hakuchukua hatua, JPM awaminye vizuri wezi wakubwa nyie.
 
Back
Top Bottom