Unajua mabalozi wanahekima sana.Huwa wanapata wapi semina?
Hiyo ndio hodi yanamwanza?
Iringa university mkuu.Mkiti CCM mkoa wa Iringa,Mjumbe uhakiki Mali za CCM anajua mbivu zote za ufisadi CCM
Wabunge zaidi ya 370 wote hawaikosoi serikali?
Muanze kurusha mubashara ili wananchi tuanze kurekodi hoja kwa wabunge wetu.
Ndioooooooooo,hata hawaelewi nakupiga meza kwa wingi.
Swali,hela walizokusanya kwa wananchi zilipatikana?au kila mmoja alitumia mabavu ya nafasi yake.
Waandishi wahabari waruhusiwe kushiriki vikao vya mabaraza mwanzo mwisho,ili wananchi tujue no diwani yupi yupo pamoja na shida za wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.