Wabunge wa Bunge la JMT hawaeleweki au hawajielewi?

Gellangi

JF-Expert Member
Apr 11, 2016
2,756
2,996
Bunge lililopita lilikuwa lenye Wabunge wa CCM na wa vyama mbadala. Hoja zinapotolewa na Wabunge wa CCM hata kama hazina uzito wowote zinashangiliwa lakini zikitolewa hoja zenye maslahi ya Wananchi kwa kiasi gani, kama mleta hoja hiyo siyo CCM basi atazomewa, ataombewa miongozo au tàarifa ya Spika hadi hoja inakosa uungwaji mkono aidha kutekelezwa.

Mfano G. Lema aliwahi kuonya juu ya kuwafilisi wafanyabiashara, kuwakimbiza au kuwabambikia kesi za ukwepaji kodi ili wasote jela. Hakuungwa mkono hata kidogo, akaitwa majina.

Juzi Rais Samia Suluhu karejea kauli kama hiyo ya Mh. Lema na Wabunge wetu waliopinga hiyo hoja Bungeni wanashangilia na kuunga mkono kwa 100%.

Je, huwa Wabunge wana mwakilisha nani pale Bungeni? Nahisi kama hawajielewi wapo Bungeni kufanya kazi gani.

Leo unapinga jambo na kesho unashangilia?
 
Sasa hivi Bunge letu limekosa mvuto na hoja za Wananchi. Wabunge wengi wanajifahamu kuwa wapo pale kwa njia za mkato kama kupiga bila kupingwa na magumashi ya kura wakati wa Uchaguzi Mkuu. Limekuwa Bunge la chama kimoja unepectedly.

Kazi kweli kweli!
 
Bora hata kijiwe cha wana Msimbazi, pale Kkoo, asubuhi kina mvuto kuliko hilo genge lililopo hapo Dodoma, likiekti bila director.

Everyday is Saturday...:cool:
 
Kuna wakati wabunge wa CCM waligeuka kuwa wao ndio wapinzani yaani hoja yoyote toka chama kingine ni kupinga tu.Nakumbuka hoja ya kuondoa ada ya shule walivyo shupalia kupinga kisa imeletwa na upinzani.
 
Tatizo la CCM ni mpinzani kuzungumza, nahisi waliambizana kwenye party caucas yao kwamba bungeni akiongea mpinzani hata pointi ikiwa ya maana ni kumzomea tu, wanaogopa wakipongeza wapinzani watasifiwa na wananchi, wanasahau wote ni watanzania na wanajenga nchi moja, ila hoja hiyo hiyo akizungumza CCM mwenzao wanagonga meza kukubali hoja.
 
Je,huwa Wabunge wana mwakilisha nani pale Bungeni?Nahisi kama hawajielewi wapo Bungeni kufanya kazi gani!
Leo unapinga jambo na kesho unashangilia?
Ni kweli kile ni kijiwe cha kupokelea posho, mambo ya kufanya;
  • Fedha zinazotumika pale zinatokana na kodi zetu, tunayohaki kuamua majimbo ya uchaguzi yapunguzwe na kufikia 26 ili kuongeza tija, fedha itakayookolewa kutokana na kupunguzwa kwa wabunge ielekezwe kwenye ajira za vijana.
  • Minimum qualification ya elimu kwa mgombea ubunge, iwe degree, hii itapunguza tatizo la kutunga sheria zisizo na tija kwa taifa letu
  • Mbunge akae vipindi viwili tu bungeni kama ilivyo kwa Rais,
  • Posho, marupurupu na mishahara ya wabunge ipangwe na wananchi badala ya wao wenyewe kujipangia.
  • NK
 
"Leo unapinga jambo na kesho unashangilia?"🐒🐒🐒
65432109874.jpg
 
Bunge lililopita lilikuwa lenye Wabunge wa CCM na wa vyama mbadala. Hoja zinapotolewa na Wabunge wa CCM hata kama hazina uzito wowote zinashangiliwa lakini zikitolewa hoja zenye maslahi ya Wananchi kwa kiasi gani, kama mleta hoja hiyo siyo CCM basi atazomewa, ataombewa miongozo au tàarifa ya Spika hadi hoja inakosa uungwaji mkono aidha kutekelezwa.

Mfano G. Lema aliwahi kuonya juu ya kuwafilisi wafanyabiashara, kuwakimbiza au kuwabambikia kesi za ukwepaji kodi ili wasote jela. Hakuungwa mkono hata kidogo, akaitwa majina.

Juzi Rais Samia Suluhu karejea kauli kama hiyo ya Mh. Lema na Wabunge wetu waliopinga hiyo hoja Bungeni wanashangilia na kuunga mkono kwa 100%.

Je, huwa Wabunge wana mwakilisha nani pale Bungeni? Nahisi kama hawajielewi wapo Bungeni kufanya kazi gani.

Leo unapinga jambo na kesho unashangilia?

Wewe sema tu wanasaiasa wote hawajielewi.


Hata huyo Lema mwenyewe kigeu geu ti.
 
Bunge lililopita lilikuwa lenye Wabunge wa CCM na wa vyama mbadala. Hoja zinapotolewa na Wabunge wa CCM hata kama hazina uzito wowote zinashangiliwa lakini zikitolewa hoja zenye maslahi ya Wananchi kwa kiasi gani, kama mleta hoja hiyo siyo CCM basi atazomewa, ataombewa miongozo au tàarifa ya Spika hadi hoja inakosa uungwaji mkono aidha kutekelezwa.

Mfano G. Lema aliwahi kuonya juu ya kuwafilisi wafanyabiashara, kuwakimbiza au kuwabambikia kesi za ukwepaji kodi ili wasote jela. Hakuungwa mkono hata kidogo, akaitwa majina.

Juzi Rais Samia Suluhu karejea kauli kama hiyo ya Mh. Lema na Wabunge wetu waliopinga hiyo hoja Bungeni wanashangilia na kuunga mkono kwa 100%.

Je, huwa Wabunge wana mwakilisha nani pale Bungeni? Nahisi kama hawajielewi wapo Bungeni kufanya kazi gani.

Leo unapinga jambo na kesho unashangilia?
Inasikitisha kuona maslahi yote bya taifa letu yapo mikononi mwa Mtu mmoja.....tunahitaji katiba mpya
 
Bunge lililopita lilikuwa lenye Wabunge wa CCM na wa vyama mbadala. Hoja zinapotolewa na Wabunge wa CCM hata kama hazina uzito wowote zinashangiliwa lakini zikitolewa hoja zenye maslahi ya Wananchi kwa kiasi gani, kama mleta hoja hiyo siyo CCM basi atazomewa, ataombewa miongozo au tàarifa ya Spika hadi hoja inakosa uungwaji mkono aidha kutekelezwa.

Mfano G. Lema aliwahi kuonya juu ya kuwafilisi wafanyabiashara, kuwakimbiza au kuwabambikia kesi za ukwepaji kodi ili wasote jela. Hakuungwa mkono hata kidogo, akaitwa majina.

Juzi Rais Samia Suluhu karejea kauli kama hiyo ya Mh. Lema na Wabunge wetu waliopinga hiyo hoja Bungeni wanashangilia na kuunga mkono kwa 100%.

Je, huwa Wabunge wana mwakilisha nani pale Bungeni? Nahisi kama hawajielewi wapo Bungeni kufanya kazi gani.

Leo unapinga jambo na kesho unashangilia?
Wapo bungeni kugawana kodi zetu hawan jipya
 
Tatizo la CCM ni mpinzani kuzungumza, nahisi waliambizana kwenye party caucas yao kwamba bungeni akiongea mpinzani hata pointi ikiwa ya maana ni kumzomea tu, wanaogopa wakipongeza wapinzani watasifiwa na wananchi, wanasahau wote ni watanzania na wanajenga nchi moja, ila hoja hiyo hiyo akizungumza CCM mwenzao wanagonga meza kukubali hoja.
Hao CCM akili zao zinachakata hoja taratibu mno(slow processors) na kwa jinsi hiyo hoja nzuri nyingi zenye maslahi kwa Wananchi zilikosa/zinakosa kudadavuliwa ndani na nje ya Bunge ambalo hilo ni jukumu lake la msingi kwa sababu kama ulizotaja.Wasivyojielewa wamekubali kufundishwa cha kunena kufanya bungeni na kamati ya propaganda ya chama.
CCM ingetimiza wajibu wake kwa historian yake kisingestahili kufanya siasa za kishamba kama tunavyoshuhudia leo.CCM hii siyo ile ya Wakulima na Wafanyakazi tens.Hii ya sasa ni ya mbwamwitu katika vazi la kondoo.Tujihadhari!
 
Ni kweli kile ni kijiwe cha kupokelea posho, mambo ya kufanya;
  • Fedha zinazotumika pale zinatokana na kodi zetu, tunayohaki kuamua majimbo ya uchaguzi yapunguzwe na kufikia 26 ili kuongeza tija, fedha itakayookolewa kutokana na kupunguzwa kwa wabunge ielekezwe kwenye ajira za vijana.
  • Minimum qualification ya elimu kwa mgombea ubunge, iwe degree, hii itapunguza tatizo la kutunga sheria zisizo na tija kwa taifa letu
  • Mbunge akae vipindi viwili tu bungeni kama ilivyo kwa Rais,
  • Posho, marupurupu na mishahara ya wabunge ipangwe na wananchi badala ya wao wenyewe kujipangia.
  • NK
Umepitia mule mule wasikopenda hao wachumia matumbo.Umewahi kuona wapi mwajiriwa akajipangia mishahara na marupurupu manono na mwajiri asiwe na la kujitetea?Yaani sisi Wananchi ndiyo tulistahili kuwapangia tuwalipe nini kwa kutuwakilisha.Bunge letu ni kubwa mno(Wingi wa Wabunge) na tija inayotokana nao haina value for our money.
Suluhisho ni kukoleza na kuhakikisha nchi yetu inapata Katiba ya Wananchi, yenye meno na itakayokidhi mahitaji yetu ya sasa na baadaye.Wananchi hilo ni jukumu letu na siyo hisani toka serikalini ama vyama vya siasa.Vinginevyo tutaendelea kuwa wasindikizaji hapa duniani.
 
Back
Top Bottom