Recent content by mhati

  1. M

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Wakati, mnajadili ya kahama na njombe nawakumbusha kuwa sasa GEITA NI MANISPAA NJOMBE ENDELEENI KUUZA PARACHICHI
  2. M

    Hii hapa ndio Miji 25 yenye watu wengi Tanzania

    Mbona ifakara siioni hapo na inawatu 290,000 mtoa mada umetudanganya sehemu aisee na hizo data zako
  3. M

    Hii hapa ndio Miji 25 yenye watu wengi Tanzania

    Pia kahama wilaya yote na vijijini ni watu 1,239,000 ina halmashauri 3
  4. M

    Hii hapa ndio Miji 25 yenye watu wengi Tanzania

    Nikweli mleta data sumuelewi mji wa ifakara wenye watu 290000 haupo mahali popote kwenye hizo data au alikuwa anaandika miji mashuhuli tu
  5. M

    Ndoto za Chato kuwa mkoa zayeyuka baada ya mikoa jirani kugoma kuachia maeneo yao

    Kwani huduma zipi hizo za kufuata mkoani kwani kama ni matibabu anaweza kwenda chato hivihivi na akatibiwa mie niko kahama ninadra sana kwenda shinyanga kufuata huduma huduma zoote zinapatikana wilayani kama matibabu huwa tunapewa rufaa moja kwa moja bugando
  6. M

    Sauti kutoka ndani inaniambia mkoa wa Chato upo mbioni kutangazwa

    Leo trh 10/01/2023 mkoa huo umefutwa rasimi hautakuwepo umekataliwa
  7. M

    Ndoto za Chato kuwa mkoa zayeyuka baada ya mikoa jirani kugoma kuachia maeneo yao

    Kwa upande wetu sisi wakazi wa shinyanga wala hatuoni shida kuwepo mkoa huo ila shida ni wanasiasa ndio wamerumbana kwa chuki zao
  8. M

    Tutaje Miji inayokua kwa kasi na sababu nyuma ya ukuaji wake

    Watake radhi watu wakahama hakuna mchango wa buzwagi kwa mji huo na kama kigezo ni hicho hata tarime kuna north mara gold mine ila haitii mguu kwa kahama now buzwagi mwaka wa tatu toka ifungwe njoo.ucheki watu wanavyoshusha gorofa za kisasa na mijengo ya kuishi ya kisasa population inazidi...
  9. M

    Njombe vs Tunduma vs Katoro vs Dodoma vs Kahama

    Haswaaa dodoma sasa hivi ligi yake ni mbeya Arusha na mwanza wengine tutaonekana vichaa
  10. M

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Halafu uzi ni kahama na njombe mbona mnatoka nje ya mada njombe walete kanisa zuri kuzidi hilo la kahama maana kutwa kurusha kimnara cha kanisa wakati kanisa lenyewe la kawaida
  11. M

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Kuna uzuri na ukubwa elewa hio tofauti nilichosema ni kanisa zuri kwa kulinganisha na makanisa ya njombe sasa wewe wakawe kamo umetoka wapi.uzi huu haukuhusu
  12. M

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Jimbo katoliki la kahama kanisa zuriiii
  13. M

    Kahama VS Tunduma: Wapi kuna Michongo ya Pesa na Fursa zaidi?

    Nimekwambia wale tunawazidi kwa wingi wa mapato ila sio maendeleo sasa nimeyumba wapi? Hoja yangu nikwamba hata mkikusanya pesa nyingi hamuwezi kutuzidi maendeleo maana tayari tushakuwa manispaa mfano sasa hivi kuna mradi wa bank ya dunia wa lami kilomita 26 barabara za mitaa na ujenzi wa masoko...
  14. M

    Kahama VS Tunduma: Wapi kuna Michongo ya Pesa na Fursa zaidi?

    Mipango sio matumizi kahama tunazidi manispaa za iringa moshi shinyanga bukoba musoma songea sumbawanga tabora kigoma ujiji kwa mapato je kahama inazidi manispaa hizo kwa naendeleo jibu hakuna ukiwa manispaa unaletewa vitu vya maendeleo hata kama hujachangia pia ujue kitu hiki kahama ni mkoa wa...
Back
Top Bottom