Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,481
Sipafahamh katoro na kahama ila kuilinganisha tunduma na Dodoma au njombe ni kuikosea tunduma heshima



, Offcourse Tunduma kuna mzunguko mzuri wa pesa.Sipafahamh katoro na kahama ila kuilinganisha tunduma na Dodoma au njombe ni kuikosea tunduma heshima



, Offcourse Tunduma kuna mzunguko mzuri wa pesa.Nimefika miji yote hiyo niliyotaja, Njombe kuna mzunguko gani pale?Kama hujawahi kufika, nakushauri itakuwa ni busara ukinyamaza kimya.
Ulishawahi kufanya biashara hapo Njombe??.Nimefika miji yote hiyo niliyotaja, Njombe kuna mzunguko gani pale?
NdioUlishawahi kufanya biashara hapo Njombe??.
Itaje kwa manufaa ya wote.Miji ambayo inakuwa kwa mfumo wa biashara Ni kahama ,tunduma ,makambako ,masasi nk hii asilimia kubwa imetawala biashara na Kuna miji inakuwa kwa mazao muhimu yanayo patikana eneo husika Kama miti ya mbao ,parachichi nk hii Ni Kama njombe ,mafinga nk sijaiweka katoro kwasababu ule bado sio mji kamili miji yenye nature hiyo Ni mingi mno
Bahati nzuri naifahamu miji yote in terms of business na population yes Tunduma iko viruri lakini interms infrastructure,modernisation,living standard na urban planning Njombe Iko mbali sana kwa Tunduma.,Tunduma imejengwa bila mpangilio tunazidiwa na upande wa Zambia.Barabara za Lami Njombe Iko juu ya Tunduma.Kifupi Tunduma inazidi Njombe pirikapirika za biashara zisizohusiana hardware na Agroproducts ambazo njombe Iko juu zaidiSipafahamh katoro na kahama ila kuilinganisha tunduma na Dodoma au njombe ni kuikosea tunduma heshima
Haswaaa dodoma sasa hivi ligi yake ni mbeya Arusha na mwanza wengine tutaonekana vichaaHahaahahahhhahahah...