"""Ukamataji huu ulifanyika ukishuhudiwa na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Oysterbay iliyopo katika Kata ya Msasani, Wilaya ya Kinondoni ambaye alithibitisha kuwa watuhumiwa hao walikamatwa wakiwa na kiasi tajwa. Ieleweke kwamba, Maofisa wa TAKUKURU ndiyo waliomwita Mwenyekiti wa Serikali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.