Recent content by Mhandisi 2009

  1. M

    Msaada wa China: Haya ni baadhi tu ya masharti

    <br /> Sio jukumu lake kuweka documents, waambie hao waliosema na waliokubali kuwa ni mkataba wenye masharti nafuu watuwekee hayo masharti tuone unafuu wake. <br />
  2. M

    Sikiliza mdahalo wa u - rais nchini kenya kupitia arusha mambo

    Nimefurahi kwa sababu najifunza na kuelewa mengi, ila nasikitika kwa sababu sisi tulishindwa kwa sababu CCM hawakutaka. Hata TBC wameona ni muhimu kurusha presidential debate ya kenya, sasa ipi ni muhimu ile ccm waliokataa au hii ya kenya? Inauma sana....lakin nawashukuru TBC kwa hili!
  3. M

    Ujenzi wa Morogoro Road kuanzia Ubungo kwenda Kimara

    Strabag ambae ndio anaejenga hiyo barabara sio aliedesign hiyo barabara, yeye anapewa michoro ambayo inaonyesha nini anatakiwa afanye kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Alidesign hiyo barabara ni SMEC International, hawa ni kutoka Australia, na ndio wanaoisimamia hiyo barabara. Swala la mitaro ya...
  4. M

    Zitto alinikataza nisiwe rafiki wa Saed Kubenea - Asah Mwambene, Mkurugenzi Habari/Maelezo

    Tumechoka na kampeni zenu za kumchafua zitto kwa kashfa za nyuma ya pazia, mwanzoni mlikua mnafanikiwa kumchafua kwa mtindo huo, ila now watu wameshachoka maana hayajawahi thibitika hata siku moja. Kwa kifupi Zitto ni jembe linaloongoza kuifanya serikali isilale hata ukimuuliza pinda na mkulo...
  5. M

    Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

    Sasa jaman ukimaliza form six halaf ukaenda kusoma diploma maana yake uliliwa kichwa katika matokeo! Then ukaenda india kwa digrii, huko ndo kweny digrii za vyuo feki vya kitaa, kuna vyuo vya kata kama zilizovyo sekondary zetu za kata!
  6. M

    Bunge Lisirushe Matangazo yake 'LIVE' - Nape

    Kwa mtindo huu tusingejua kama waziri mkuu alilia bungeni!
  7. M

    Bunge kusitisha kurusha 'LIVE' vikao vyake!

    Dr Kashilila amenisikitisha mpaka nashangaa huu ni udokta gani usioweza kulinganisha vitu, anadai amekaa bungeni toka zamani kukiwa kuna redio tz tu iliyokua ikirusha bunge na hakukuwa na vurugu, mtu akiambiwa akae anakaa. Anaringanisha bunge la chama kimoja na bunge la vyama vingi ? Huu si...
  8. M

    Haijawahi kutokea... Zitto afunika Kasulu mjini, CCM, NCCR Matumbo moto!

    Cha kunishangaza utaona watu ambao ni chadema lakin hawajafurahi kusikia zitto akiongea hayo!
  9. M

    Zitto awaaga wapiga kura wa Kigoma Kaskazini

    Jambo ulilolifanya kwa namna flan ni la busara lakin kiukweli unaweza ukakosa nafasi kubwa ya kuihudumia jamii na kuitetea kama ulivyokua ukifanya. Kumkosa Zitto bungeni ni pengo kubwa sana, maana ktk wabunge 3 bora wa bunge la jamhuri ya muungano na zitto nae yumo. Kama vip achukua jimbo...
  10. M

    Zitto awaaga wapiga kura wa Kigoma Kaskazini

    Jambo ulilolifanya kwa namna flan ni la busara lakin kiukweli unaweza ukakosa nafasi kubwa ya kuihudumia jamii na kuitetea kama ulivyokua ukifanya. Kumkosa Zitto bungeni ni pengo kubwa sana, maana ktk wabunge 3 bora wa bunge la jamhuri ya muungano na zitto nae yumo. Kama vip achukua jimbo...
  11. M

    Zitto: Serikali iache kutafuta mchawi, iende Mtwara!

    Acha ukeleketwa na chuki binafsi, soma tathmin kilichoandikwa jenga hoja. Sio kila kitu lazima tulete mambo ya siasa uchwara. Kama ni masalia haya tunashukuru kwa taarifa, but great thinker sio kwa mtindo huo. Jamaa naye ni mwananchi ana uhuru wa kutoa maoni yake sio lazima chama. Maana hata...
  12. M

    Mji wa Kigamboni kujengwa kwa trillion 11 wakati bajeti yetu ni trillion 14

    Okay nimekupata mkuu, hata daraja la kigamboni basi haikua huruma ya serikali kwa wananchi bali ni kusaidia uwekezaji wa kigamboni na ndo maana maghufuli alikua na nyodo sana kwa wananchi wa kigamboni.
  13. M

    Mji wa Kigamboni kujengwa kwa trillion 11 wakati bajeti yetu ni trillion 14

    Leo kwenye taarifa ya habari ya Itv nimemsikia mama Tibaijuka akisema mji wa Kigamboni utatumia trillion 11 mpaka kumalizika kwake. Sasa najiuliza hizo pesa zitatoka wapi maana ni karibia na bajeti ya nchi nzima. Kwa wanaifaham hii project kwa undani naomba mtujuze source of funds for Kigamboni...
  14. M

    Rais Kikwete amtimua Mwenyekiti wa Bodi Bandari

    Acha kutuaminisha siasa zako! Hatuhitaji ushahidi wala kuipa bodi ya bandari tuhuma zozote ili wazijibu, bandari inanuka kwa rushwa na ufanisi wake ni mdogo, nenda hata kawaulize watu rwanda, burundi, congo mpaka zambia wanalijua hilo. Hata wew unayajua haya sasa unataka tuwabebe mgongoni. Piga...
Back
Top Bottom