Ni wazi kuwa timu ya Yanga wameamua kuwaunga chadema kwenye kampeni yao na hii itakuwa kuna watu wanawafadhili...kwa kuwa ukiangalia kwa undani slogan yao ya HATUCHEZI NG'O ni kama ya chadema.
Serikali iwangalie vizuri hawa watu utakuta wana agenda ya siri na chadema.
Karibia mwaka sasa Azamtv wamesitisha ku promote ndondi...mpaka sasa wale mabondia wameanza kusahaulika...
Viongozi wa ndondi wakaiangukie Azam na kuweka michezo hiyo kwenye channel zake... vinginevyo hali itakuwa tete...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.