Msisome tu kwaajili ya kufaulu mitihani bali kwaajili ya kuelewa kwani siku hizi hawaajiri GPA bali uwezo wa kupractice ulichosoma.Pia jitahidini kujenga credibility ya chuo chenu kinachoonekana kuwa na graduands ambao hawawezi kuperform!Study and prove it wrong kwa wale wanaokiita chuo hiki cha...
Kitendo hiki cha viongozi kuvutana hadi kuchaniana nguo ni ukosefu wa maadili hasa kwa kiongozi wa kuchaguli na huyo DED ambaye ni presidaa appointee!kILICHOKUWA SO DEMANDING KWENYE HIYO DOCUMENT NINI!The do nothing leaders
Duh!Kweli tunahitaji viongozi wenye kufanya critical analysis kabla ya maamuzi kwani hiyo miti haiwezi ikapandwa katikati ya mahindi then watu wakaambiwa wasioteshe tena hilo eneo ni msitu!Kuliko kuwatia wakulima hasara kama hii!anyway kama watu pengine tuliona wakichomewa nyumba na mwekezaji na...
Wakubwa hivi kuna uhusiano wowote kati ya uongozi katika nchi na umasikini kwa wananchi wa nchi husika?Je umasikini wa Tanzania unaweza kuwa umesababishwa na aina ya viongozi tulio nao!Naomba maoni
Tuwaze na kurespond analytically kwani walipomchukua walimwonyesha vitambulisho?Maana akisema alidhani ni polisi iweje polisi waende kumkamata bila kumwonyesha vitambulisho?Pia tusigeneralize kama ni CDM kwani hata adui zake wanaweza kumfanyia hivi!Kwani waliomteka ulimboka nao walikuwa CDM let...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.