Katika hali ya kawaida ya kuhabarishana na kufurahishana rafiki yangu mmoja ametumia picha hiii. Na nikaona si vibaya nikawashirikisha nanyi ndugu zangu ili tupate cha kujifunza.
Imekuwa ni kawaida kwa wazazi wengi inapotokea kutokuelewana, basi hugombana na kutoleana maneno mazito bila...
Wana jukwaa wenzangu habari ya majukumu,
Naomba nipate mawazo na mtizamo wenu katika hili. Leo asubuhi na mapema nilipoamka nimekutana na ujumbe kutoka kwa rafiki wa kike akiomba kusikia mtizamo wangu na maoni yangu juu ya jambo hili. Akaniuliza hivi, "Ni kwanini siku hizi mwanaume...
Aliyetumia kauli ya kusema kuwa Hata Quran ina Makosa naamini alikusia kwa nia njema kabisa. hakukusudia kukashifu kama ambavyo Mheshimiwa umekashif. Maneno uliyoyatumia kwa kiasi kikubwa naamini yamkosa busara na uvumilivu stahiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.