Recent content by Mgunda Jr

  1. M

    Je , wajua maana ya taa za viashiria hivi kwenye dashboard ya gari yako na rangi hizi zinavyomaanisha.? Soma hapa tumekuwekea ufafanuzi.

    Nina magari mawili Toyota Run x na Kulger. Magari yote mawili yana changamoto ya kuwasha taa ya Engine nikitembea distance fulani..Yani sio kwamba inawaka muda uleule nikiwasha gari labda nikitembea kilometers kadhaa ndio unakuta inawaka. Hii Run x ni ndani ya siku moja ndio huwa inawaka ila...
  2. M

    Taa ya Engine kwenye gari

    Habari Wakuu..nina magari mawili Toyota Run x na Kulger. Magari yote mawili yana changamoto ya kuwasha taa ya Engine nikitembea distance fulani..Yani sio kwamba inawaka muda uleule nikiwasha gari labda nikitembea kilometers kadhaa ndio unakuta inawaka. Hii Run x ni ndani ya siku moja ndio huwa...
  3. M

    Library ya kusomea.

    Habari Wakuu.. Kuanzia kimara hadi mbezi kuelekea kibamba na ukanda huu wote wapi Kuna Library ya kusomea tafadhari .
  4. M

    Library ya kusomea

    Habari Wakuu.. Kuanzia kimara hadi mbezi kuelekea kibamba na ukanda huu wote wapi Kuna Library ya kusomea tafadhari .
  5. M

    Uzi mfupi nikimalizia kuhusu aina za Staking kwenye cryptocurrency

    Kwa upande wa binance locked unapata hadi asilimia ngapi annually maybe
  6. M

    Road Weighbridges

    Awareness About Road Weighbridges and Road Regulations Is a Must to These Directly Involved Stakeholders.👇 1. Transporters/Trucks Owners 2.Transport Officers 3. Drivers. This Will Help in One Way or Another The Involved Company or Transporters To Avoid Some Loss and Other Complaints Which...
  7. M

    Road Weighbridges (Mizani)

    Awareness About Road Weighbridges and Road Regulations Is a Must to These Directly Involved Stakeholders.👇 1. Transporters/Trucks Owners 2.Transport Officers 3. Drivers. This Will Help in One Way or Another The Involved Company or Transporters To Avoid Some Loss and Other Complaints Which...
  8. M

    Forex trading Vs cryptocurrency

    Habari wadau. Naomba kujua utofauti kati ya Forex trading na Cryptocurrency ili nijue nakaa wapi ili niwe vizuri zaidi
  9. M

    Ushauri wangu kwa wanaotaka kununua hisa za CRDB: Case study of IT Outage

    Dah ila mambo ya hisa bn ni umiza kichwa kinoma yani 😂
  10. M

    Ugonjwa wa Empox

    Mwilini
  11. M

    Ugonjwa wa Empox

    Tafadhari wapwa tiba ya fasta ya ugonjwa wa Empox ni ipi..je kuna sindano au tiba mbadala ya kuponyesha fasta hivi vipele vyake.
  12. M

    Wachina wa Kamali

    Seriously Kaka nipe no tuwasiliane
  13. M

    Wachina wa Kamali

    Kwema.. tafadhari msaada wa mawasiliano ya hawa wachina wa madubwi au mashine za kamali wanapenda sn kutembea na magari ya kluger. Muhimu Sana.
Back
Top Bottom