Leo napenda tujuzane juu ya udhaifu wa tume yenye thamana ya kusimamia vyuo vikuu, ninavyofahamu walaka wa TCU ulisema kiwango cha dalaja C katika masomo ya vyuo vikuu kianzie na 40 na sio 50, inakuwaje mpaka sasa baadhi ya vyuo bado imebaki 50 na hakuna hatua zilizochukuliwa, mfano ni Mzumbe...
Mkuu umarufu wa coet umetokana na umri ilionao hapa tz na uwepo ma machine zilizoletwa na german ambozi almost East Africa nzima hazipo, hope umeelewa.
Pole ndugu hapa ukiwa chini ya hiyo 16 na mchezo umekwisha, anyway inaweza ikawezekana lakini si unajua sua C inaanza na 50 na cyo 40 kama mlimani na ndugu zake.Usisahau kumludia mungu wako.
No riserch no right to speek.Tafuta undergraduets wa mwaka huu katika course chache kama Computers science, Bsc with education etc uone kama hao wenye principle 2 hawapo,then uludi kufuta utumbo ulioandika hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.