Recent content by Mgosi original

  1. M

    Hotuba ya Rais Prof Jakaya Kikwete, Ukumbini Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

    Kwani angekaa kimya tungepata hasara gani ooh tenzi dume mara waya wakati muhimbil hata nyuz za viatu kusaidia wagonjwa hakuna.
  2. M

    Hotuba ya Rais Prof Jakaya Kikwete, Ukumbini Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

    Kitendo cha kuhutubia ugonjwa kwa taifa tena watu wakiwa na mambo muhimu wanayasubiria ni kutafuta huruma kwetu,rais ajue kuwa hilo halistahili.
  3. M

    Mkakati mzito wa kufungua kesi mahakama kuu ili kuzuia bunge kujadili repoti ya escrow account

    Jamani unajua watanzania sio wajinga nimesikia kuwa kuna wahanga wa kashfa hii wamepanga kufungua kes mahakamani kuzima hii issue ila kama mahakama inaingiliwa hata bunge linaingiliwa wajue hilo suala hili ni la kibunge na kufungua kesi ni kuingilia uhuru wa bunge. Msikariri kuingilia uhuru wa...
  4. M

    Ligi Kuu Tanzania Bara, Raundi ya IV: 18 Oktoba 2014

    Niko maeneo ya Taifa mashabiki wameanza kuingia tangu mapema sana,hali ya hewa leo safi joto si kali mashabik upande wa Simba wanatabasamu na furaha kuliko wa Yanga =============================== DAKIKA 90 YANGA 0-O SIMBA
  5. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    kama unataka lushoto nije mvomero poa
  6. M

    Tubadilishane vituo vya kazi

    Anayetaka kuja lushoto shule ya msing na mimi niende kibaha 0769030198
  7. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwalimu shule ya msingi aliye kibaha au mkuranga anataka kuhamia lushoto tanga tuwasiliane 0769030198
  8. M

    Kwanin askari wa vyeo vya juu huwabambikizia kesi askari wa vyeo vya chini?

    viongoz wa juu wa jeshi la polisi niwala rushwa wakubwa na pia ndio huwatuma askari wa chini kufanya uhalifu. Mfanö fuvu la binadamu huwekwa Exhit room na lazima kielelezo kikitnka OCS mkuu wa kituo ajue, hawa walitumwa na wakuu wao walete pesa. Ukikamatwa wanakukana. Jesh halina weled kwa sasa...
  9. M

    Kwanin askari wa vyeo vya juu huwabambikizia kesi askari wa vyeo vya chini?

    Jeshi limekuwa na uonevu kwa askari wa vyeo vya chini, naomba IGP awe makini mana kila mwez askari hufukuzwa kwa majungu.
  10. M

    J Makamba, DC Lushoto wamlazimisha Mwenyekiti Mteule CHADEMA Kwakitui Kujiuzulu!

    Wasambaa tumeamua sasa! Ccm wametuona wajinga. Matunda yanaozea shambani juice zinauzwa toka nje ya nchi. LUSHOTO with Chadema.
  11. M

    Kwanin askari wa vyeo vya juu huwabambikizia kesi askari wa vyeo vya chini?

    Nimesoma taarifa leo juu ya askari wa vyeo mbalimbali kufikishwa mahakaman kwa uhalifu. Sina tatizo na hilo. Tatizo kubwa ni namna ambavyo viongozi wa juu hasa mikoani kuwabambikia kesi askari wa vyeo vya chini na kuwafukuzisha kazi na wanapopeleka mahakamani hushindwa hata kutoa ushahid nusu...
  12. M

    Hoja za CCM kuwa waeneza udini na ukabila

    Nilifuatili kwa karibu Mh. Wasira akitoa utetezi wake ju ya ccm kupinga udini. Kwa kifupi naomba nimwambie CCM walikinadi chama cha CUF kuwa ni cha waislamu had kikakosa suport. Nakumbuka 2005 wakati wa kampen za uchaguzi katika kijiji cha gologolo shume mkoani tanga wilaya ya lushoto jimbo la...
  13. M

    Usalama wa taifa: wasira anajichanganya

    Anasema eti wakati wa ukolön wamefanya kazi nzuri ila suala la utekaji anajichanganya. Et usala umemuokoa mbowe. Hajajibu hoja
Back
Top Bottom