Recent content by Mgosi Mbena

  1. Mgosi Mbena

    Wanajeshi wa Israel wanazidi kuuliwa huko Gaza

    Naona una hangaika wakat wao hata hawajali !!? wakujali walikua waarabu wanaokufa kama kuku kila siku elf 42000 kwa 3000 kweli israel n mtoa roho na
  2. Mgosi Mbena

    Huu uzi ni kwa wanaojimbua tu kwa madini yake kuhusiana na dini nyemelezi za kigenin

    jitu la ivi utakuta kichwani limejaza historia iliyotengenezwa na muarabu
  3. Mgosi Mbena

    Mchungaji auawa na kikundi cha Waislam wenye itikadi kali baada ya Waislam watatu kuwa Wakristo

    Kama huko kwao wanachinjana na kutoana vichea wao kwa wao je watawafanya nini wengine
  4. Mgosi Mbena

    Wanajeshi wa Israel wanazidi kuuliwa huko Gaza

    si uwaache wafe we unaumia nini wakiona wanakufa watasitisha vita maana wao ndo wana nguvu kusema iishe au iendelee
  5. Mgosi Mbena

    Kwanini Morogoro ni ngumu kuwa jiji kubwa la kisasa

    kama tu kuandika kumemshinda morogoro ataijuaje sasa
  6. Mgosi Mbena

    Kwanini Morogoro ni ngumu kuwa jiji kubwa la kisasa

    Tunaongelea maendeleo ya jiji hatuongelei mahitaji ya muhimu kwa binadam kuishi. Nikukumbushe hamna mkoa unakosa hivo vitu hatupo somalia au kenya hapa
  7. Mgosi Mbena

    Kwanini Morogoro ni ngumu kuwa jiji kubwa la kisasa

    kaka ushawai fika dodoma afu ufananishe na morogoro
  8. Mgosi Mbena

    Kwanini Morogoro ni ngumu kuwa jiji kubwa la kisasa

    Katika tathmini ya majiji yote kukua hutawai kuisikia Morogoro inakua au inategemewa kukua kutokana na miradi au vipaumbele vya nchi. Morogoro ipo katikati ya majiji mawili makubwa Dar na Dodoma. Hii ni ngumu sana uwekezaji kufanyika hapa. Pole Morogoro utabaki kuwa njia panda.
Back
Top Bottom