Kama Diaspora akili zao ziko hivi acha nilime bangi Tarime/mbeya!hata kama baba alikua na shida gani wangekuja kumzika ndo waandike VIDHUNGU hivi!utetezi utamzika dingi ako!maza wako hana shida yeye kaishatengeneza familia nyingine!wewe na sister wako mmebaki mnaelea!
Mkuu tupe jina la huyo diwani,wakurya wanakuaje waoga na kupigwa na mchina!labda diwani alipewa pesa ya kuleta mbwa na mbwa hana!naipenda Bunda ya wassira!
Chadema muwe waangalifu kwa nini kila mwenye mawazo tofauti anaonekana ni pro zzk!namjua palapala amehangaika sana kuijenga chadema hapo ngorongoro hakika mkikubali mawazo ya Amani Eti muachane nae mtapoteza jembe!hivi mnajua mazingira ya umasaini?sio mtu anakaa pale arusha anakua na...
Nimekua nikifuatilia mambo ya nchi yangu nabata ushungu!viongozi wengi hasa wa ccm wamekua wakiomba ridhaa ya uongozi si kwa kua ni viongozi,utakuta wanalinda fedha zao au makosa ambayo wamefanya ndani ya jamii!suala la madabida ni uendawazimu kabisa,haiingii akilini mtu anatengeneza ARV fake...
Wachangiaji wengi hivi sasa sijui ni upeo wa shule au ushabiki!hoja aliyoweka zitto ni suala la mchango wake kama raia yeyote wa JMT,nawe toa mawazo yako!afadhari kapoteza credibility ila yuko bungeni atapata nafasi ya kuchangia!endelea kuweweseka hapa JF!Mawazo yake ni mazuri si kuyaangalia kwa...
Mkuu hata mie imenishangaza sana!sasa huo umjini mnaomsifia magazeti anashindwa kusoma anabaki anabweka eeh eeh!siusome basi!watu wa clouds pamoja sifa zote mnapewa hawa wa vijiweni nadhani kakomea lanne waacheni kwenye matamasha kipindi serious km pb kina matangazo mengi co vzr kuweka...
Nahisi kama ndo alikua hapa mwanza wana duka la kuuza stationery posta road jirani na mwanza hotel linaitwa united stationery na anaitwa kausha alikua bonge hivi!nasikia pia alihamia dar!alikua na kiburi balaa!anyway RIP bro watu wanatafuta karo za shule!
Kumbuka kisa aliwahi kitoa hata Nyerere,Ingawa Le Mutuz hakika hufuatilii hata nukuu zake"Mfarme alimfukuza mke wake kwa kisa cha kusingiziwa kwamba mke wa mfalme hatakiwi kusingiziwa"sasa unamtetea mbunge tena profesa huoni ccm mnafuga matatizo kuelekea kipindi mkipendacho"UCHAGUZI"tena na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.