Chuki! chuki! chuki!
Kwanini usitamani sikumoja aje kiongozi Apige marufuku UVAAJI WA VIMINI!? Na Kwa wanafunzi Apige marufuku wavulana kuvaa vipensi Shuleni!? Na wanafunzi Wasichana wasio na hijabu watimuliwe!!
Ili kuwe na huo uwiano unaoutaka!?
Ila vazi la hijabu #LINAWAKASIRISHA Mpaka...
Kwakuwa % kubwa ya watu Zanzibar ni waislam so inapofika nafasi ya uteuzi WA mgombea Kutoka Zanzibar... Ndivyo huonekana inchi Inatawaliwa na watoto WA 𝙄𝙨𝙢𝙖𝙞𝙡 𝙣𝙖 𝙞𝙨-𝙝𝙖𝙖𝙦𝙖 Peke Yao.
Binafsi nafikiri ni Kwa sababu ya muungano ndio unafanya nchi ionekane inaongozwa Kwa zamu baina ya 𝙬𝙖𝙞𝙨𝙡𝙖𝙢 𝙣𝙖 𝙬𝙖𝙠𝙧𝙞𝙨𝙩𝙤
...... Issue ya kiongozi wa dheheb Gani anafaa kushika madaraka kutokana na hizo 𝘿𝙞𝙣𝙞 Mbili nafikiri ni Siri ya Kambi yenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.