Tehe tehe hapana chezea kiu ya papa..u can do impossible things with the power of papa...u can even snitch your friends..[emoji4] pia unaweza nena kwa lugha ambazo hujawai jifunza..usishangae kuongea kiebrania ukiwa umeshikwa.
Mkuu..nimeshindwa hata kukupa like...unanikosea heshima kuniambia mimi sio riziki nitake radhi tafadhali...usichangie mada kwa mihemko...katika uzi kuna sehemu umeona nilipewa nikashindwa au mazingira yalikuwa hayaruhusu??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ..umetisha asee..unagema papa mshkunda bila kujali fungi?..unaloweka tu mzee...hapo mimi hata uniwekee na dettol pembezi sijilipui...upapi unaweza develop moss..[emoji4]
Kwa mtazamo wango taa zingekuwa maeneo yafuatayo.
Mwenge
Njiapanda kawe
Njia panda Goba
Africana
Njia panda kunduchi.
Huko kwingine..watafanya foleni iwe kubwa sana.
Mkuu umeusoma uzi kwa umakini kabisa?..niliweka wazi kuwa ni kweli nilijirisha kujua kama kweli yupo period..(nilidiriki mpaka kufubgua kapedi kaliko tumika ambacho alikaweka kwenye mfuko katika dustbin..niliamka usiku akiwa kalala)
By then nilikuwa kijana mtiifu sana nikiamini katika itifaki kwa kila jambo.Lakini kama ilivyo ada wanawake wa rika letu wanakuwa wameshatuzidi akili siku nyingi.
Ukishanyimwa ndipo utakumbuka huwa kuna ajali...maana ni mkoa ambao sina ndugu na wala sikuwahi kuota kama nitafika na nimeondoka sijamwambia mtu...lakini ningetunukiwa hata angesema tuunganishe tena mpaka msumbiji ningekwenda bila kinyongo.[emoji4] [emoji3]
Huenda ilikuwa hivyo..maana huwezi mtegea mtu safari ukiwa period..bora ingetokea wakati teyari mpo safarini..Niliapa sitojilipua tena.Nikipata mialiko kama hiyo nakuwa muwazi kabisa nauliza period unaingia lini?..jibu la hapo ndipo litanipa msukumo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.