Recent content by mgombele jr

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mama aibiwa mtoto kliniki Mkoani Morogoro

    Nasikitika kwa wanaume wenzangu kwa jinsi mnavyomsakama huyo mama,j Hila kwa jicho la tatu kama namuonea mme wa mama aliyeiba mtoto sababu anajua mkewe kaenda jifungua kijijini kumbe anaenda bambikiwa mtoto ambae hata hamuhusu,duh hii ni noma na keshapigiwa cm kuwa mke kajifungua salama
  2. M

    JamiiForums Tanzania Member mpya wa Jamii Forums

    Nimesalimika kabisa na ndio maana nimependa kuweka harakat pamoja nanyi
  3. M

    JamiiForums Tanzania ZITTO KABWE Ulimi umeteleza ama? Kuanzisha chama ukiwa ndani ya Chadema ni Uhaini!

    Sio mtaalamu wa masuala ya katiba na sheria za vyama,labda alitumia hile ktu inayoitwa self defence lakini inaakaje hii?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete nchi imemshinda mwanzo mwisho

    Wakati wa kufanya uamuzi ni huu,tukutane octoba pale kwenye sanduku la kura maana kuna wakati unaweza hata lia peke yako mtaani kwa sababu ya nchi hii Tanzania
  5. M

    JamiiForums Tanzania Member mpya wa Jamii Forums

    Nashukuru nimepata nafasi hii adhimu kuwa mmoja kati ya member ya watu wanaofikiri kama kama hakuna box vile na sio out of the box.Salute kwa wadau wote ambao bado wanafanya page hii kuwa so best alwayz,nami kwa kuwa ni mmoja kati ya wana mageuzi wa fikra mgando nafurahi kuwa humu ndani hili...
Back
Top Bottom