Tutajadili na Bilioni 252 alizokwapua Magufuli, kwa sasa ni Polepole. Kama huna data tuliza boli soma maoni ya wenzio. Ni kweli Polepole alikwapua Tsh 600,000/-?
Jana kwenye mjadala kati ya Polepole na Msigwa zilitoka tuhuma kuwa Bw. Polepole alikwapua Tsh 600,000/- kiasi kwamba wafadhili walipunguza mkataba wake kutoka miaka 2 hadi mmoja.
Hakuna mahali Polepole amejenga hoja kupinga hili zaidi ya kujikanyaga kwa maneno meeeeeeengi yasiyojibu hoja...
Nimenunua kikopo kimoja nitaanza kukitumia leo inshallah. Mi nyumbani kwangu mabakuli yote ya bati na sharti la udongo ni kutumia kwenye bakuli la plastic au udongo na utumie maki ya chupa ya kilimanjarp
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.