Recent content by mgole2015

  1. M

    Wafanyakazi wa Airtel Tz (Customer Care) wagoma kufanya kazi Leo

    Haya makampuni ya simu ni majanga wamegeuka kuwa wanyonyaji jamani 270???? Only in TZ hawana wa kuwasema wanajitawala watakavyo.
  2. M

    Nini kinawachochea vijana Watanzania kujiunga na Ugaidi?

    Hii issue usalama hapa Tz wajipange, imani ni kitu hatari sana
  3. M

    Tamko la Al-Shabaab kufuatia mashambulizi ya kigaidi Garissa

    Mie nakubaliana na Gavana wa Garissa kuwa Al shabab hawana dini hakuna dini inayoruhusu mtu kuhuwa watu wasio kuwa na hatia
  4. M

    Barabara mpya ya Bagamoyo Foleni zimerudi

    Ni kweli barabara ya Tegeta Madale ingesaidia sana kupunguza foreni.
  5. M

    Wizi wa Mchana wa TRA: Usajili wa Pikipiki hauna Receipt

    Hata mimi hii imenikuta na nilijaribu kuuliza sikupata majibu commercial then urudishe private
  6. M

    Msaada: Wapi nitapata majeneza mazuri zaidi ya Muhimbili?

    Asante sana nimeishapoa uneongea point tupu ubarikiwe sana napia nashukuru sana@gfsonwin
  7. M

    Msaada: Wapi nitapata majeneza mazuri zaidi ya Muhimbili?

    Asante sana kwa msaada wenu, nafaham kufa ni kufa naomba tu kuelekezwa ubishoo utakuwa ni wangu naomba nitendewe haki ya kuelekezwa tu.
  8. M

    Msaada: Wapi nitapata majeneza mazuri zaidi ya Muhimbili?

    Nashukuru kwa mawazo yenu ngoja nisubiri na ya wengine
  9. M

    Msaada: Wapi nitapata majeneza mazuri zaidi ya Muhimbili?

    Kilichokuchekesha? Naomba kuelekezwa kama unapafahamu.
  10. M

    Msaada: Wapi nitapata majeneza mazuri zaidi ya Muhimbili?

    Wana JF naomba kuuliza ni wapi nitapata majeneza mazuri yenye viwango vya hali ya juu hapa DSM zaidi ya Muhimbili? Asanteni
  11. M

    Eti huyu naye ni mjane wa kapteni!

    Niwe mzaramo mhaya sio mhaya yote poa tu ila message imefika
  12. M

    Eti huyu naye ni mjane wa kapteni!

    Husipende kujaji kitu husichokijua ndo maana wakasema husilolijua ni usiku wa giza.
  13. M

    Kwanini Tanzania isiingizwe kwenye kitabu cha maajabu ya dunia?

    Swala la Makonda limetustua watu walio wengi hapa nchini.
Back
Top Bottom