Kampuni ya On site Sustanable Waste Water Management Systems(OSWAMS) ni muarobaini wa kero ya maji taka iliyokuwa sugu katika makazi ya watu pamoja na taasisi mbalimbali hapa nchini.
OSWAMS ina mfumo maalumu na wa kisasa ambao kazi yake ni kubadilisha maji taka yanayotoka katika chemba ya...
Katibu wa Chadema Moshi Vijijini Bw.Emmanuel Mlaki amegoma kusimamishwa uongozi na Katibu wa Chadema Mkoa wa Kilimanjaro Basil Lema kwa madai kuwa uamuzi huo ni wake binafsi na haujatokana na maamuzi ya vikao halali vya Chama cha Chadema mkoani humo.
Akizungumza katika mahojiano na Mtandao huu...
Bundi ametua ndani ya chama cha na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kilimanjaro kufuatia madiwani sita wa Halmashauri ya Moshi, kutakiwa kujieleza kwa usaliti.
Kufuatia tuhuma hizo Katibu wa Chadema Wilaya ya Moshi, Emmanuel Mlaki amewaandikia barua madiwani hao akiwataka kujieleza hata hivyo barua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.