Hakina principal ya kuishi na mwanamke wa aina hyo. Inategemeana na akili yake, wapo wengne wastaarabu na wanaheshimu ndoa zao na heshima kwa mume wake haishuki.
Lakn kuna wengne ndio wanaota mapembe na unaweza kujua kila aina ya rangi yake.
Kikubwa omba Mungu tu ailinde ndoa yako.
Lakn pia...
Hayo ndio matatzo ya kufikiri kwa kutumia matako. Hujuma ipi amefanyiwa yanga? Wakati goli la pili la yanga ni clear offside,
Kipindi cha kwanza Max kapata nafasi ya kufunga lakn yeye anatungua shuti la kupaisha, kipindi cha pili Dube a.k.a isarael mbonyi amepata nafasi zaidi ya mbili lakn...
Gari zinazotoka morogoro kwenda mahenge ni adnas inatokea mafiga. Kama ni msamvu basi ulipanda mbekenyela au Efra. Na hizo zinatokea DSM moro hupita mchana.
Anyway karibu mahenge tutafute spino na dhahabu.
Mwaya naijua sana sehemu za Ruaha, kituti sali, hadi ketaketa. Tuko na wanaapolo.
Huyo...
Hakuna manslaughter hapo. Kitendo cha kumchoma kisu baada ya kutamkiwa maneno ya dharau sawa, lakn je alichukua hatua zipi baada ya kutenda kosa?
Lait kama angempeleka hosptali ingekuja pure manslaughter. Lakn kitendo cha kumpeleka nyumbn kwake na kumkatakat vipande hyo ni murder
Kuna hawa wengne sijui wako wapi kwasasa.
matola, The secretary, Mentor ,Christine Ibrahim, miss chagga, Manka m, Evelyn Salt,@mtambuzi,Khantwe ,firstlady na wengneo
Kama ni kweli umefanya vyema kulipa kisasi lakn ujue vita ndio kwanza mbichi.
Huyo mama, mwanaye wa kike na huyo mchumba wa mdokozi hao hawana kosa lakn umewafedhehesha. Jiandae kwa vita kubwa sana tena ya nguvu za giza, hata kwa familia yako iwe makini sana. Wanawake sio wepesi wa kusamehe...
Yaani ungekuwa mdogo wangu ningekutia ngumi mpaka unichukie milele, unaaibisha wazazi wako, mbona unakuwa kilaza hvyo?
Yaani mke wako kila mwanaume anajiondolea nyege kwake mwishowe wewe unakula makombo ya wenzako. Shenzzy type
Kwasasa kila sehemu zmejaa vilaza. Hii JF ilikuwa sehemu nzuri sana ya kujadili mambo lakn sasa hivi kumejaa vijana vilaza na machawa. Ukiingia twitter ndio kabisa, kuna mitoto inawaza kulelewa tu na mashoga ndio yamejaa. Ni shida tupu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.