Recent content by Mgirik

  1. Mgirik

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wa kuishi na mwanamke mfanyakazi/mtumishi

    Usicheleshe hawatabiriki
  2. Mgirik

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wa kuishi na mwanamke mfanyakazi/mtumishi

    Hakina principal ya kuishi na mwanamke wa aina hyo. Inategemeana na akili yake, wapo wengne wastaarabu na wanaheshimu ndoa zao na heshima kwa mume wake haishuki. Lakn kuna wengne ndio wanaota mapembe na unaweza kujua kila aina ya rangi yake. Kikubwa omba Mungu tu ailinde ndoa yako. Lakn pia...
  3. Mgirik

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli mawakili wanaridhishwa na uongozi wa sasa wa TLS basi Kuna shida kubwa, nawashauri nendeni tena shule

    Kwa heshima uliyonayo humu JF bora usijibu hoja za vilaza kama hawa. Hakuna jambo la maana ataweza kukujibu
  4. Mgirik

    JamiiForums Tanzania Siri imefichuka Yanga anafanyiwa hujuma ili kusudi Simba achukue ubingwa angalau mzani ubalance

    Hayo ndio matatzo ya kufikiri kwa kutumia matako. Hujuma ipi amefanyiwa yanga? Wakati goli la pili la yanga ni clear offside, Kipindi cha kwanza Max kapata nafasi ya kufunga lakn yeye anatungua shuti la kupaisha, kipindi cha pili Dube a.k.a isarael mbonyi amepata nafasi zaidi ya mbili lakn...
  5. Mgirik

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Gari zinazotoka morogoro kwenda mahenge ni adnas inatokea mafiga. Kama ni msamvu basi ulipanda mbekenyela au Efra. Na hizo zinatokea DSM moro hupita mchana. Anyway karibu mahenge tutafute spino na dhahabu. Mwaya naijua sana sehemu za Ruaha, kituti sali, hadi ketaketa. Tuko na wanaapolo. Huyo...
  6. Mgirik

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Majibu mabaya kwa mpenzi yasababisha mauaji: Mkasa wa kusikitishaA wa 'Mr. Blue'

    Hakuna manslaughter hapo. Kitendo cha kumchoma kisu baada ya kutamkiwa maneno ya dharau sawa, lakn je alichukua hatua zipi baada ya kutenda kosa? Lait kama angempeleka hosptali ingekuja pure manslaughter. Lakn kitendo cha kumpeleka nyumbn kwake na kumkatakat vipande hyo ni murder
  7. Mgirik

    JamiiForums Tanzania Hawa wakongwe JF wapewe heshima

    Kuna hawa wengne sijui wako wapi kwasasa. matola, The secretary, Mentor ,Christine Ibrahim, miss chagga, Manka m, Evelyn Salt,@mtambuzi,Khantwe ,firstlady na wengneo
  8. Mgirik

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilimuonya mke wangu kuhusu kuchepuka hakunisikia. Nimefanya hii comeback sasa hivi analia tu, Pasaka chungu kwake

    Legendary umepotea sana mkuu. Habar za miaka
  9. Mgirik

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilimuonya mke wangu kuhusu kuchepuka hakunisikia. Nimefanya hii comeback sasa hivi analia tu, Pasaka chungu kwake

    Kama ni kweli umefanya vyema kulipa kisasi lakn ujue vita ndio kwanza mbichi. Huyo mama, mwanaye wa kike na huyo mchumba wa mdokozi hao hawana kosa lakn umewafedhehesha. Jiandae kwa vita kubwa sana tena ya nguvu za giza, hata kwa familia yako iwe makini sana. Wanawake sio wepesi wa kusamehe...
  10. Mgirik

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrejesho mwingine wa mke wangu, alirudi ila baadae aliondoka tena

    Yaani ni kilaza flani na hata mwanamke amemgundua kuwa hamnazo ndio maana anafanya anavyotaka
  11. Mgirik

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrejesho mwingine wa mke wangu, alirudi ila baadae aliondoka tena

    Yaani ungekuwa mdogo wangu ningekutia ngumi mpaka unichukie milele, unaaibisha wazazi wako, mbona unakuwa kilaza hvyo? Yaani mke wako kila mwanaume anajiondolea nyege kwake mwishowe wewe unakula makombo ya wenzako. Shenzzy type
  12. Mgirik

    JamiiForums Tanzania Hivi wenzetu mnaotumia Facebook mna akili timamu kweli?

    Kwasasa kila sehemu zmejaa vilaza. Hii JF ilikuwa sehemu nzuri sana ya kujadili mambo lakn sasa hivi kumejaa vijana vilaza na machawa. Ukiingia twitter ndio kabisa, kuna mitoto inawaza kulelewa tu na mashoga ndio yamejaa. Ni shida tupu
  13. Mgirik

    JamiiForums Tanzania Tafakuri yangu ndogo

    Kila jambo litatimia kwa wakati wake.
  14. Mgirik

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu anatelekeza chumba chake na kwenda chumba cha mtoto

    Mgogo wangu huo ni mtego. Kaka yako nakushauri kamwe usiingie. Iwe kwa bahati mbaya au kwa kulazimishwa. Kamwe usiingie. Amekuonesha makucha mapema
  15. Mgirik

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania JamiiForums usipokuwa makini, utajikuta unatongoza mwanaume mwenzako🤔

    Joined 2023 hata hujakomaa unaanza kuparamia ID Jf ni zaidi ya uijuavyo.
Back
Top Bottom