Yaani ungekuwa mdogo wangu ningekutia ngumi mpaka unichukie milele, unaaibisha wazazi wako, mbona unakuwa kilaza hvyo?
Yaani mke wako kila mwanaume anajiondolea nyege kwake mwishowe wewe unakula makombo ya wenzako. Shenzzy type
Kwasasa kila sehemu zmejaa vilaza. Hii JF ilikuwa sehemu nzuri sana ya kujadili mambo lakn sasa hivi kumejaa vijana vilaza na machawa. Ukiingia twitter ndio kabisa, kuna mitoto inawaza kulelewa tu na mashoga ndio yamejaa. Ni shida tupu
Dogo kama una hela nenda kijijini kwenu kasalimie wazazi wako au hata mabibi na mababu au kama hawapo hai kapalilie hata makaburi.
Hayo unayohangaika unapoteza muda wako bure. Hayo mapambo tu. Akivua nguo huyo hyo figure hutaitaman tena.
Humu kila mtu atakuambia lake. Nenda hospital kacheki ujue tatzo. Pressure inasababishwa na vitu vingi kama, mafuta mwilini, kurithi, kutanuka kwa moyo, pombe iliyokithili, kuongeza chumvi mbichi kwenye chakula n.k
Wewe ni mtu mzima sana. Halafu hapa duniani sio kila hitaji la moyo wako lazma litimie kwa asilimia miamoja.
Watoto umepata lakn bado unahangaika kutafuta wengne. Sasa hapo mzee mwenzangu umri wako unaikaribia 50 ndio kwanza unamtoto ana miezi.
Huyo mtoto utamlea kwa pensions???
Na huko kwenye...
Shida yenu akili zenu hazieleweki kama uchi wa mwanamke.
Leo raisi samia kaendekeza urafiki mzuri kwa familia ya msoga lakn ndio nyinyi mnamtukana.
Magufuli Tangu awali hakupenda kuendekeza urafiki kwasababu marafiki siku zote sio wazuri hasa urafiki wa kisiasa.
Leo hii familia ya Edward...
Duh! Yaani hata umri wa miaka 37 hujafikisha tayari umeanza kuhangaika na nguvu za kiume. Vipi ukifikisha miaka 45 utakuwa katk hali gani???
Acha utumwa huo, fanya mazoezi kula vzr ondoa stress. Hayo machips bloila yatawaua.
Hizo dawa zitakuharibu. Maana hadi sasainaonekana unakosa ujasiri...
Mm binafsi nmeacha hata kuangalia hata kusikiliza hotuba zao. Upande wa mwigulu ni pumba tupu anazoongea huku mama ni mipasho tu.
Nchi inatia hasira yaani sijui hata duniani wanatuonaje. Nchi imetoboka kila sehemu hata kwa mtu mwenye uelewa mdogo atajua tu kuwa kwasasa Tanzania tuna ombwe la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.