Recent content by Mgirik

  1. Mgirik

    Mrejesho mwingine wa mke wangu, alirudi ila baadae aliondoka tena

    Yaani ni kilaza flani na hata mwanamke amemgundua kuwa hamnazo ndio maana anafanya anavyotaka
  2. Mgirik

    Mrejesho mwingine wa mke wangu, alirudi ila baadae aliondoka tena

    Yaani ungekuwa mdogo wangu ningekutia ngumi mpaka unichukie milele, unaaibisha wazazi wako, mbona unakuwa kilaza hvyo? Yaani mke wako kila mwanaume anajiondolea nyege kwake mwishowe wewe unakula makombo ya wenzako. Shenzzy type
  3. Mgirik

    Hivi wenzetu mnaotumia Facebook mna akili timamu kweli?

    Kwasasa kila sehemu zmejaa vilaza. Hii JF ilikuwa sehemu nzuri sana ya kujadili mambo lakn sasa hivi kumejaa vijana vilaza na machawa. Ukiingia twitter ndio kabisa, kuna mitoto inawaza kulelewa tu na mashoga ndio yamejaa. Ni shida tupu
  4. Mgirik

    Tafakuri yangu ndogo

    Kila jambo litatimia kwa wakati wake.
  5. Mgirik

    Mke wangu anatelekeza chumba chake na kwenda chumba cha mtoto

    Mgogo wangu huo ni mtego. Kaka yako nakushauri kamwe usiingie. Iwe kwa bahati mbaya au kwa kulazimishwa. Kamwe usiingie. Amekuonesha makucha mapema
  6. Mgirik

    JamiiForums usipokuwa makini, utajikuta unatongoza mwanaume mwenzako🤔

    Joined 2023 hata hujakomaa unaanza kuparamia ID Jf ni zaidi ya uijuavyo.
  7. Mgirik

    Samahani wakuu, hii pisi ya Zanzibar imeolewa?

    Dogo kama una hela nenda kijijini kwenu kasalimie wazazi wako au hata mabibi na mababu au kama hawapo hai kapalilie hata makaburi. Hayo unayohangaika unapoteza muda wako bure. Hayo mapambo tu. Akivua nguo huyo hyo figure hutaitaman tena.
  8. Mgirik

    Anaejua dawa ya presha anisaidie nimeambiwa presha yangu ipo juu

    Humu kila mtu atakuambia lake. Nenda hospital kacheki ujue tatzo. Pressure inasababishwa na vitu vingi kama, mafuta mwilini, kurithi, kutanuka kwa moyo, pombe iliyokithili, kuongeza chumvi mbichi kwenye chakula n.k
  9. Mgirik

    Mapenzi: hakutaka kugombana na mwanamke mwenzie

    🤣🤣 hyo kelb sio ya kitoto. Huyo mwanaume anafugwa
  10. Mgirik

    Nahisi mtoto sio wangu

    Wewe ni mtu mzima sana. Halafu hapa duniani sio kila hitaji la moyo wako lazma litimie kwa asilimia miamoja. Watoto umepata lakn bado unahangaika kutafuta wengne. Sasa hapo mzee mwenzangu umri wako unaikaribia 50 ndio kwanza unamtoto ana miezi. Huyo mtoto utamlea kwa pensions??? Na huko kwenye...
  11. Mgirik

    Magufuli hakuwa rafiki mzuri ndiyo maana familia wapweke

    Shida yenu akili zenu hazieleweki kama uchi wa mwanamke. Leo raisi samia kaendekeza urafiki mzuri kwa familia ya msoga lakn ndio nyinyi mnamtukana. Magufuli Tangu awali hakupenda kuendekeza urafiki kwasababu marafiki siku zote sio wazuri hasa urafiki wa kisiasa. Leo hii familia ya Edward...
  12. Mgirik

    Pamoja Afcon 2027: Tanzania vs Kenya vs Uganda

    Wazee wa kingereza wapo kuwaangalia wasiojua kingereza
  13. Mgirik

    Experience ya dawa za nguvu za kiume

    Vijana wanateswa sana na video za X hawajui kuwa yale ni matendo ya kutengenezwa.
  14. Mgirik

    Experience ya dawa za nguvu za kiume

    Duh! Yaani hata umri wa miaka 37 hujafikisha tayari umeanza kuhangaika na nguvu za kiume. Vipi ukifikisha miaka 45 utakuwa katk hali gani??? Acha utumwa huo, fanya mazoezi kula vzr ondoa stress. Hayo machips bloila yatawaua. Hizo dawa zitakuharibu. Maana hadi sasainaonekana unakosa ujasiri...
  15. Mgirik

    Tanzania ingekuwa na Strong Vetting, Samia asingekuwa Rais na Mwigulu asingekuwa Waziri Mkuu

    Mm binafsi nmeacha hata kuangalia hata kusikiliza hotuba zao. Upande wa mwigulu ni pumba tupu anazoongea huku mama ni mipasho tu. Nchi inatia hasira yaani sijui hata duniani wanatuonaje. Nchi imetoboka kila sehemu hata kwa mtu mwenye uelewa mdogo atajua tu kuwa kwasasa Tanzania tuna ombwe la...
Back
Top Bottom