Recent content by Mgibeon

  1. Mgibeon

    Ushauri wa bure kwa Samia akae karibu na TEC ataishi kwa Amani.

    Ankali sikuhizi huongei sana!
  2. Mgibeon

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Sanaa ngumu! Technically hakuna msanii wa kike asiyelika! Mchawi dusko tu.
  3. Mgibeon

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Huyo dada ni kweli
  4. Mgibeon

    TEC ivunjwe imekiuka miiko ya Kikatoliki kwa kushindwa kueneza upendo kwa wote

    Vipi kuhusu serikali illnayokiuka Miiko ya misingi ya kikatiba?
  5. Mgibeon

    Wakosoaji na Wapinzani kumbukeni nchi ni kama ziwa la mama zenu, mtakapoliua nanyi mtakufa pia

    2% haina nguvu ya kuua nchi Kaka! Million 32 wote muwatazame tu hao 2%?
  6. Mgibeon

    Wito wa kudumisha amani. Tusibaguane kiTanganyika na kiZanzibari

    Amani ni Tunda la Haki.. huwezi kuvuna miwa kama ulipanda mihogo
  7. Mgibeon

    Msajili wa vyama vya siasa ni vema uifute CHADEMA kwa kuwa Chanzo cha Machafuko nchini

    Sio Chadema tu! Futa sheria ya vyama vingi... futa mfumo wa Urais.. weka mfumo wa "UFALME" mtawazeni mfalme wenu then mle Mema ya nchi kwa utulivu!
  8. Mgibeon

    Kutakuwa na surprise usiku wa kuamkia tarehe 29; Mabakabaka part 2

    Hii hata mimi nimepata jana mchana!
Back
Top Bottom