Mambo yanapelekwa haraka haraka kukimbizana na deadline ya mabeberu! Anyways, kumfutia Lissu kesi zake ni mafanikio ya Mariadhiano kwa 50%.. Yaani wala hamna kutumia nguvu yooote hiyo! Asilimia zilizobaki ni kuwatunuku Watanzania "Katiba Mpya", baasi..! Hayo ndo muarobaini wa mpasuko uliopo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.