Recent content by Mgibeon

  1. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Je, ni sawa kuagiza mafuta ya kula nje ya nchi ikiwa tuna uwezo wa kuzalisha mafuta nchini?

    Kuzalisha ni gharama kuliko kuagiza! Speaking from Experience.
  2. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Unapotengeneza mfumo kuwa bagaza wananchi usitegeme utawarudisha kama walivyo.

    Kubagaza na Kubananga
  3. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Msaada nifanyaje kuepuka kuchomekewa mimba isiyo yangu?

    😂😂
  4. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Msaada nifanyaje kuepuka kuchomekewa mimba isiyo yangu?

    Acha ngono.
  5. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Confession: Juu ya kulala na wake za watu

    🤣🤣🤣! Mchunga nuksi sana,
  6. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Confession: Juu ya kulala na wake za watu

    Atakuja kupachukia sana Dodoma kama watamuacha hai.
  7. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Confession: Juu ya kulala na wake za watu

    😀😀😀😀.... mke wa mtu ni mtamu kama tembele la bondeni.
  8. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Confession: Juu ya kulala na wake za watu

    Matokeo yake sometimes hupelekea mpaka kifo! Kenge hua hasikii mpaka maskio yatoke damu.
  9. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Maridhiano ya Taifa yapata mwelekeo mpya, muswada maalum waandaliwa

    Mambo yanapelekwa haraka haraka kukimbizana na deadline ya mabeberu! Anyways, kumfutia Lissu kesi zake ni mafanikio ya Mariadhiano kwa 50%.. Yaani wala hamna kutumia nguvu yooote hiyo! Asilimia zilizobaki ni kuwatunuku Watanzania "Katiba Mpya", baasi..! Hayo ndo muarobaini wa mpasuko uliopo!
  10. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Simba tumepigwa. Bus jipya la Simba (Irriza) limeharibika njiani.

    Mimi ni Yanga! Ila ni mtu wa vyuma! Kwa hii issue wala sishangai, inaharibika mimba sembuse gari jamani?
  11. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Mambo matatu yanawezekana kuhusu Nchimbi na kauli zake.

    Katiba ni kijitabu tu.
  12. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Mzee Wassira: CHADEMA Wasitulazimishe kumwachia Lissu!

    "Wasitulazimishe", kwamba na yeye ni sehemu ya Mahakama?
Back
Top Bottom