Yeah.. ngoja nikuulize, unafikiri kitu gani kinafanya ubongo ulewe na kulewa kwa ubongo ni kipi hasa hutokea? Pia kumbuka pombe ni zao la sayansi ktk kemia.
Haziongezi nguvu za kiume, zinaua ganzi viungo vya mwili kwahiyo sense zinachelewa kupata moto, wazungu wanakua mbali sana, usipovuta hisia game inaweza kuisha kichupa bado kina Mls za kutosha! Next time kajaribu JackDaniels.. utakuja kunishkuru!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.