Recent content by Mgibeon

  1. Mgibeon

    Punguza unywaji wa pombe, ukiweza acha kabisa

    Ngoja nigide nguchu moja ndefu halafu nirudie kusoma tena Mkuu!
  2. Mgibeon

    Sababu ya Lady Jay Dee kuachana na mumewe

    😒😒😒... Aiseee
  3. Mgibeon

    Takwimu za mchezaji anayeonekana bora kabisa Simba

    Kibu Mikimbio.. alikua kipenzi cha Mzee wa pira Objective..
  4. Mgibeon

    Baada ya Mechi Kumalizika tegemeeni haya yafuatayo

    KABISA! watimue wachezaji!
  5. Mgibeon

    Baada ya Mechi Kumalizika tegemeeni haya yafuatayo

    🤣🤣🤣🤣.... Ila Genta!
  6. Mgibeon

    INAUZWA Safe Box zinauzwa Mpya kabisa. Bei 750,000/=

    🤣🤣🤣.. Mzee wa hovyo! Mkewe watamdinya vilivyo sio!!
  7. Mgibeon

    Hivi ni kweli mawazo huleta uhalisia?

    Birthday? Aiseee
  8. Mgibeon

    Manara, huo mchezo wako tumeushitukia

    Dah... kama jana hukua na bando, ni kwamba jana Manara kaongeza familia kwa kuwa Balozi wa kampuni ya Parimatch...
  9. Mgibeon

    SI KWELI Unywaji wa pombe Kali kama konyagi na K Vant huongeza nguvu za kiume

    Yeah.. ngoja nikuulize, unafikiri kitu gani kinafanya ubongo ulewe na kulewa kwa ubongo ni kipi hasa hutokea? Pia kumbuka pombe ni zao la sayansi ktk kemia.
  10. Mgibeon

    Tanzania na nchi za ukanda wa Afrika Mashariki zimejipangaje kudhibiti madhara ya ndege zisizo na rubani endapo zitapotea njia na kuja ukanda huu?

    Swali zuri, lakini haya ni mambo ya kijeshi, hivyo wewe kama raia timiza wajibu wako mambo ya ngoshwe Waachie wenyewe kina Ngengemkeni.
  11. Mgibeon

    Kwa heshima na taadhima naomba ulipokee hili To yeye.

    Hivi hua hamnielewi nikisema hili ni goma langu? Mpaka siku nimsimike mtu bisu la koromeo ndo mtaacha huu ujinga! Mbav kabisa...
  12. Mgibeon

    SI KWELI Unywaji wa pombe Kali kama konyagi na K Vant huongeza nguvu za kiume

    Haziongezi nguvu za kiume, zinaua ganzi viungo vya mwili kwahiyo sense zinachelewa kupata moto, wazungu wanakua mbali sana, usipovuta hisia game inaweza kuisha kichupa bado kina Mls za kutosha! Next time kajaribu JackDaniels.. utakuja kunishkuru!
Back
Top Bottom