Recent content by Mgibeon

  1. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu kwanini Congo haiwezi kupata amani milele

    Mungu aepushie mbali kabisa.
  2. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Polisi na TRA, kusanyikeni hapa!

    Unajua kundi kubwa la Wanaume ndio linafanya hizo boda na guta? Wakizuiwa wewe ndo utakua provider wa familia zao?
  3. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Kusema Majaji ni maCCM ndiyo kauli mbaya kuliko zote kwenye kesi ya Mh. Lissu

    kwahiyo huo ndo uhaini?
  4. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Hivi zile chopa za CHADEMA zilipoteleaga wapi kama waliuza na kugawana hela waweke wazi watu wajue huu ukimya ni Rushwa.

    Jamani tusome! Tuepuke aibu ndogo ndogo kama hizi.
  5. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Dalili za mwanaume maskini ni hizi

    Kwani sisi watu wa Dar tuliwakosea nini nyinyi watu wa up country?
  6. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Watu wa Dar ni washamba

    Hata Mbunge wa kwenu yuko huku! Huko atakuja kipindi cha uchaguzi.
  7. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Nimeshtukaa! Kumbe wanawake wa Tarime wana Mikia namna hii!.

    Kwa dunia ya sasa picha inaongea kuliko maandishi
  8. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Makamu Haramu Mteule ni Mwizi kama walivyo wakubwa zake.

    Chief, sijui kwanini watu hamuelewi! Ngoja niongee kwa maneno machache! "Hili ni Dambwi langu, gidamu nitampa yeyote nimtakaye, nyinyi wengine wote ni wateja tu, shares zote ni zangu hivyo sipangiwi".
  9. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanajiuzulu? Philip Mpango, Kinana, Job Ndugai, Emmanuel Nchimbi

    KUna wimbo mmoja wa Twanga Pepeta unaitwa "Africa unite", usikilize vizuri halafu soma bandiko hili tena
  10. Mgibeon

    JamiiForums Tanzania Kujiuzulu kwa Dk. Nchimbi: Dharau au Utii?

    Mkuu, umehitimisha mtazamo wako pasikua na habari za pande zote mbili? Hujiulizi ni kweli ile barua kaandika Nchimbi? Hujiulizi kwa nini taarifa imetokea insta? Yaani mtu Mbobevu wa siasa lakini pia umri wake anaweza kuwaza kujiuzuru kupitia Instagram? Waza kwa mawanda mapana.
Back
Top Bottom