Recent content by Mgeule

  1. Mgeule

    20% ni kweli yuko jela Congo?

    Yupo kwao Kimanzichana!
  2. Mgeule

    Waziri Kairuki: Baada ya uhakiki wa vyeti, tutahakiki matumizi ya mishahara kwa watumishi

    Hili ni Azimio la Arusha, tatizo weengi ni vijana. Sisi wazee twalijua hiloo. Huwa inaendana na kutaifisha!
  3. Mgeule

    RC Makonda: Ni marufuku kuwasaidia Ombaomba barabarani jijini Dar

    Yalimshinda Makamba hayoo! Tusubirie
  4. Mgeule

    Hatimaye biashara ya Ngono yarejea kama kawaida

    Tanga twafaidi Chichi night club, 2000 tuu
  5. Mgeule

    CRDB Jibuni email

    Mnaomba kazi?
  6. Mgeule

    Nauza kiwanja Tanga maeneo ya Kange

    Jamani naombeni mnisaidie namimi ninahitaji kiwanja Kange au Nguvumali
  7. Mgeule

    Mkoa wa Tanga umekamilika kuliko mikoa yote Tanzania

    Ninahitaji nyumba au kiwanja, nipo bandari Tanga. Please yeyote mwenye nacho tunaweza kufanya mawasiliano.
  8. Mgeule

    Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Ndugu wadau naombeni mnijuze kiwango cha mishahara kwa ngazi zilizopo hapo juu. Mamlaka ya bandari kwa anaefahamu
  9. Mgeule

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Wakuu nataka kuagiza Suzuki Jimny, cif price 2080usd itanigharimu kiasi gani mpaka kuitoa. Naombeni msaada tafadhari!
  10. Mgeule

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Wakuu naomba mnijuze, kwenye importation ya gari unajumlisha na cif value ya tra?
  11. Mgeule

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Gari za Right Hand Drive huwa ni kwa export tuu. Haziendeshwi UAE Dubai. Nyingi hupelekwa Oman
Back
Top Bottom