Hii mpya ina range kuanzia 45,000 - 59,000 mpaka unaiuza kwa bei hii utakuwa umeichakaza sana mkuu na imeisha nguvu, ndio maana nataka kujua inajaza simu kwa 100% walau kwa mara ngapi?
Daaah mkuu kweli umemtumia kwa kumuamini namna hiyo!? Pole ila hiyo kama umejitakia pia, unamuamini vipi mtu kwa kumpa mzigo bila malipo tena mkoani. Mimi nilikataa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.