Recent content by Mgambilwa 04

  1. M

    Upinzani na wanaharakati waonye wanaopatiwa rasilimali zetu bure kuwa tukiongoza Serikali tutawafukuza na hatutalipa fidia yoyote maana ni uporaji

    Wapinzani si mlimpinga Hayati asitekeleze hayo kuwa ni ukiikwaji wa Sheria na kwamba tungenyolewa, sasa leo nyie mnaona ni sawa dahh!!
  2. M

    Kahama vs Geita Battle: Majiji Yajayo Kung'arisha Kanda ya Ziwa

    Acha kunidhalilisha na vitu vya kuokoteza mzee, jitahidi kujielimisha. Inaonekana wewe ni mgeni wa Kanda ya Ziwa. Unaongelea kansa sijui albino nani amekwambia ni kubwa kiasi hicho? Fuatilia data za Wagonjwa wa Kansa, tofauti ni ndogo tu dhidi ya Mikoa mingine hata kama Kanda ya Ziwa ndio...
  3. M

    Kahama vs Geita Battle: Majiji Yajayo Kung'arisha Kanda ya Ziwa

    Nani anakudanganya kuwa kuna umasikini uliotopea? Mnapumbazwa na hizo data zinazotolewa kila siku? Mbona hamuambiwi ni watu gani wanatumia msauzi, nondo na saruji kwa wingi hapa nchini? Nathan utakuwa hujafika Kanda ya Ziwa we were. Umasikini upo mkubwa lakini matajiri na wenye maisha mazuri...
  4. M

    Kahama vs Geita Battle: Majiji Yajayo Kung'arisha Kanda ya Ziwa

    Ni kweli, kuna uwezekano mkubwa hapo baadaye Katoro (+ Bwanga) ndiyo ukawa Mji mkubwa wa kushindana na Kahama badala ya Geita kwani ni Mji ulioko kwenye junction ya Barabara Kuu za kwenda Bukoba (+ Uganda), Mwanza (+Kenya) na Dar es Salaam (+Rwanda & Burundi). In fact, siku mgodi wa GGM...
  5. M

    Kahama vs Geita Battle: Majiji Yajayo Kung'arisha Kanda ya Ziwa

    True, ukichukua Kata zote zinazounda Centre ya Katoro, unakuta kuwa Mji huo una wakazi 300,000 na unashika namba 13 nchini kwa Miji mikubwa tena bila kujumlisha Centre ya Bwanga ambayo endapo Katoro ikipewa hadhi ya Mji inaweza kuimeza Bwanga kama ambavyo Geita imemeza Kasamwa. Endapo Bwanga...
  6. M

    Kahama vs Geita Battle: Majiji Yajayo Kung'arisha Kanda ya Ziwa

    Ni kweli bado pa kichovu but ni Mji ambao una future kubwa sana baadaye. Ni Mji umezungukwa na una owe za kuhudumia centre kubwa zinazouzunguka Mji huo ambazo ni Katoro, Sengerema, Nyehunge, Nyarugusu, Bwanga na Lyamgasa.
  7. M

    Kahama vs Geita Battle: Majiji Yajayo Kung'arisha Kanda ya Ziwa

    True, kimiundombinu miji hiyo kama ilivyo miji mingine ya Kanda ya Ziwa bado ni duni sana licha ya ukubwa wake. Kuna siku wataibuka Viongozi watakaotambua changamoto hizo na kuzifanyia kazi kwa ukubwa wake.
  8. M

    Kahama vs Geita Battle: Majiji Yajayo Kung'arisha Kanda ya Ziwa

    Manispaa ya Kahama Kanda ya Ziwa inajivunia kuwa na Jiji la Mwanza (City Council) tangu 2002 ambalo ni Jiji la pili kutangazwa baada ya Dsm. Katika miaka hiyo ya 2000s, Miji ya Musoma, Bukoba na Shinyanga ilipandishwa hadhi na kuwa Manispaa (Municipal Cluncil). Ilichukua tena miaka ipatayo 20...
  9. M

    Kwanini picha ya kujaa Maji Bwawa la Nyerere haionekani google wakati huu, nini shida

    That's the point. Mi ni mnazi mkubwa wa Google Earth tangu 2018. Nimekuwa nikifuatilia mabadiliko wanayoweka kila mwaka. In fact huwa wana-tend kufanya mabadiliko mwezi Aprili ya kila mwaka. Kama ulivyosema wameweka nguvu zaidi katika maeneo yenye makazi. Na kadri Nchi au eneo lililoendelea...
  10. M

    Nitaambiwa nachochea chuki, jioneeni hapa👇

    Nilidhani una uelewa wa kutosha kumbe kichwani mwako ni kopo tu. Wewe unadhani kati ya Mwafrika na Muarabu nani mbaguzi? Halafu wanakwambia kwenye WC walitubagua sisi Waafrika still unataka ushahidi ina maana wewe ulikuwa huangalii hizo mechi mpaka Waafrika wakaanza kuiombea Morocco inyukwe...
  11. M

    Tusipoangalia kanda ya ziwa itatuletea tyranny of the majority

    Sijui nilitaka kusemaje. Inaonekana wewe hujui maana ya uchumi mzee. Hayo unaodai wafanyabiashara siyo wa huko kwani wanaishi na watu ama wako hewani au wanaishi huko unakopasema? Soma ujielimishe maana ya uchumi kwanza maana neno hilo ni gumu kwako, kwamba mfanyabiashara atoke huko aje Kanda ya...
  12. M

    Ombi langu kwa wizara ya Elimu : Futeni topic ya "human Evolution" katika somo la history kwani ni uongo wakuchanganya vichwa vya wanafunzi

    Hivyo vitabu vya Dini ndivyo vinavyowadanganya. Time will tell. Kumbuka zamani Vitabu vya Dini viliamini kuwa Jua linaizunguka Dunia kwamba sisi Wanadamu ni wa kipekee sana Ulimwenguni ndiyo maana Mungu katuwekea Nyota, Mbalamwezi na Jua kutumulika. Baada ya kuanza kugundilika sayari nyingine...
Back
Top Bottom