Recent content by mgalo

  1. M

    Mnyika, watchout! Maji Ubungo yatakuondoa...

    Mbunge alipokuwa wa ccm mlijinadi mpewe kura mlete maji, mmepewa jimbo mkashindwa kuleta maji mnasema tatizo ni serikali so mnyika hapaswi kulaumiwa. Kama ni hivyo muache kugombea ubunge mgombee urais mtakapopata muunde serikali yenu ya kutuletea maji.
  2. M

    House girl huyu nimfanyajee...?

    Tafuta cku nzuri umwambie uliingia kule kwa lengo la kuzima taa na c kumfuata yeye so aache kukutega na taa pia awe anazima otherwise utamfukuzs kazi. Hapo utakuwa umeua ndege wawili kwa mpigo.
  3. M

    Mabinti na wanawake hebu njooni mnisaidie hii shida yangu

    Wanawake huchukulia wanaume ni watu wa matamanio na hutamani kila mwanamke so akikataliwa anaona kama amevuliwa hadhi ya uanamke so huchukia sana. Ucombe pia amjue girlfriend wako cz naye atamchukia vibaya sana.
  4. M

    Ndani ya daladala

    Utasikiaje wkt kichwa umetoa nje.
  5. M

    Kitendawiliiiii

    Jibu sahihi kabisa.
  6. M

    hodi wanajamiiforums

    Ahsanteni sana, nimekaribia.
  7. M

    hodi wanajamiiforums

    nikaribisheni jamani ni member mpya.
Back
Top Bottom