Samahani wakuu naomba kujua bei za kusafirisha mifugo mfano mbuz ngombe na kuku na magunia ya mazao kutoka mikoani kuja dar. Hasahasa kutoka mikoa ya dodoma na singida kwa malori.
Asanteni sana
Mi nimeshindwa kuacha kufanya ufisadi serikalini. Sijui nifanyaje niache.. Ufisadi umenipa nyumba 8 dar. Range rover 2 na gar nyingine ndogo za kawaida 3
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.