Recent content by mfyetele

  1. M

    UNGA WA MUHOGO

    Changamoto ni madalali
  2. M

    UNGA WA MUHOGO

    Changamoto ni madalali
  3. M

    UNGA WA MUHOGO

    Samahani wana jf Nina Shamba langu ddogo la ekari 2 la muhogo. Ninatamani kutengeneza unga wa muhogo ili niuuze badala ya muhogo wenyewe. Plz ninaomba Mwenye uzoefu na kazi hiyo nipo Dar.
  4. M

    Nahitaji pumba za mahindi

    Kwani hizo 50 ziko wapi na bei ikoje?
  5. M

    Nahitaji pumba za mahindi

    Uhitaji wangu ni kumi tu
  6. M

    Nahitaji pumba za mahindi

    Ikiwa nitapata kwa wiki basi gunia sio mbaya
  7. M

    Nahitaji pumba za mahindi

    Ndio kama gunia 10 hivi
  8. M

    Nahitaji pumba za mahindi

    Samahani ndugu zangu Nina uhitaji mkubwa wa pumba za mahindi Niko Arusha mjini naomba msaada wa upatikanaji
  9. M

    Updates za zoezi la uandikishaji vitambulisho vya kupigia kura kwa Mkoa wa Dar es salaam

    walimu sio issue kama wanaweza kazi wapewe. Ar kazi imefanywa na walimu haohao na ilikuwa inafanyika vizuri na mkurugenzi mwenyewe aliwafanyia usaili kucheck speed zao.
  10. M

    Kwa Mshahara huu CCM msitafute Mchawi

    Kama huna jambo la kuandika plz kaa kimya!
  11. M

    Picha:Rais Kikwete afuturisha wasanii ikulu

    Aisee! Kumbe ndio fani yake!!
  12. M

    Hakuna waraka unaotaja mishahara mipya kwa waalimu,ni muendelezo wa siasa majitaka za chadema

    Usijali wewe tulia watoto wakifeli wataadjust matokeo. Au hujui mtindo wa kisasa. Be serious usiitetee sirikali iliyochoka.
  13. M

    Naanza kuamini yalosemwa hapo zamani kuhusu Lema.

    Pole kama umeishiwa si lazima kupost hata ujinga kama huo. Tuko makini hatutishiwi kelele za walevi. Wembe ni ule ule.
Back
Top Bottom