Recent content by Mfupawasokwe

  1. M

    JamiiForums Tanzania D09122025 wana CCM tunaunga Mkono 💯

    Mwisho wa Chama chenu ushafika
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kosa la Samia ni kuleta Siasa za Zanzibar huku Tanganyika

    Na kuwazuia wapinzani wasifanye siasa, ni agizo la CCM mtandao?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kosa la Samia ni kuleta Siasa za Zanzibar huku Tanganyika

    Mimi sio Mzanzibar ila nishawahi kukaa Zanzibar kwa kipindi fulani nasema hivi acha uongo, eti Zanzibar raia wengi wanapotezwa na serikali na hawana pakusemea? toka lini Zanzibar kulikuwa na masuala ya watu kuuliwa ovyo na kutekwa? Ushawahi kusikia mwanasiasa wa upinzani Zanzibar ameuliwa au...
  4. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Vilio vitaanza vya watawala muda sio mrefu kuanzia kesho

    Haya tunasubiri
  5. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Vilio vitaanza vya watawala muda sio mrefu kuanzia kesho

    Tunataka vitendo tushachoka maneno
  6. M

    JamiiForums Tanzania sio tu sherehe za uhuru haitofanyika bali Christmas na mwaka mpya hazitakuwepo wala nywi nywi sasa kama wananchi wamesema unabisha

    Sasa Christmas iwepo au isiwepo itamzuru nini Samia?😁😁
  7. M

    JamiiForums Tanzania Toeni Hela zenu kwenye Mabenki na mpesa hifadhini hela zenu wenyewe, anguko la uchumi limeingia

    Hizi habari zenu zakukurupuka sijui mnazitoa wapi?😁😁😁
  8. M

    JamiiForums Tanzania Soon Mtasikia Watu Wanatoa Mlio Huko

    Hakuna cha maandamano wala nini, kesho tunatiki tu
  9. M

    JamiiForums Tanzania MwanaFA anatufokea kwa kuonesha magari makali. Sanaa ilimlipa au chenji za ukarabati wa Uwanja wa Mkapa?

    Acheni fikra zenu za kipuuzi zakuona kila mtu aliyefanikiwa ni mwizi, Mnataka kuyafanya maisha kuwa magumu nyinyi wenyewe ishi kwa kipato chako Mungu alichokujaalia.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Msaada gharama za kuanza clinic

    Pole sana, kwa hiyo wenzake hawana taarifa zake kabisa?
Back
Top Bottom