Recent content by mfungwa

  1. mfungwa

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Mama WEWE ni rais wetu, na unawashauri wako, ila naomba hili ulifanyie kazi mwenyewe bila kuchelewa. Tangu uapishwe na umeona nchi ilivyo vunda. Ulichokifanya ni kuunda tu kamati. Hilo halisaidii. Unachotakiwa kufanya Watanzania ni watu wapole, nature yao ndio hiyo. Kumbe amka ita makundi...
  2. mfungwa

    Gerson Msigwa kumbuka Ukweli ni kitu gani

    Utamwelezaje MTU kwa maneno mazuri ambapo askari anampiga 'mwanamke' anayekimbia risasi. Je, huyo ni Askari aliyepitia mafunzo? Ukumbuke familia zao zipo.
  3. mfungwa

    Kiburi cha Viongozi

    Kiongozi jitahidi kuacha yako uliyonayo, bali ita vikundi mbalimbali jadili nao. Viongozi Wa siasa, dini, NK mbona watanzania wapole tu. Ila ukishupaa utaona moto Wa kiburi
  4. mfungwa

    TANROADS Wilaya ya Ukerewe, barabara ya Nansio-Kakukuru kwenu haina maana?

    Nina jiuliza kama Tan road wilaya ya UKEREWE Kama IPO AU IMEKUFA KIFO CHA KIMYAKIMYA. Maana sioni kabisa kazi yenu hasa kipindi hiki. HII barabara ni ya kwanza Wilayani Ukerewe lakini kwa sasa hali ni mbaya mno. Pia soma > Barabara ya Nansio hadi Kakukuru; Viongozi wilaya ya Ukerewe...
  5. mfungwa

    DOKEZO Ukerewe yote vituo vya mafuta vimefugwa

    Wilayani Nansio vituo vyote vya mafuta havina mafuta, Rais Samia ametulia tu. Hii nchi sasa imeelekea kufeli tena big big failure.
  6. mfungwa

    Barabara ya Nansio hadi Kakukuru; Viongozi wilaya ya Ukerewe mnamuaibisha Rais Samia

    Hii barabara ndio kitovu cha biashara katika kisiwa hiki, ukiachilia mbali kuwa ndio barabara kuu Ukerewe. Viongozi wahusika wote wa Serikali mnapita huko, hivi nyie ni vipofu hadi muambiwe. Mama kama unanisikia hamisha wote hawafai na mbunge pia ajiuzulu.
  7. mfungwa

    Waziri Mbarawa Afuta Mamlaka Za Maji 36

    Katibu mkuu wizara ya Maji Profesa Kilila Mkumbo,amesema serikali imefuta mamlaka za maji safi na usafi wa mazingira 36 na sasa zitahudumiwa na mamlaka za makao makuu ya mikoa 25, zilizoundwa na kuongezewa majukumu ya utoaji huduma katika maeneo yake Hayo ameyasema jana jijini Dodoma wakati...
  8. mfungwa

    Waziri wa maji / TANESCO ikikata umeme nansio maji yanakuja baada ya miezi, kwanini?

    Kipindi Makamu wa Rais na baadae Waziri mkuu akija kufungua mradi wa maji hapa Nansio Ukerewe pamoja na Kata za Mukituntu, Namagondo, na Igalla alisema Idara ya maji hakikisheni maji yanatoka ili wananchi wafaidike kwani wamezungukwa na maji. Hii sentensi inakuwa inavunjika kabisa wala kutokuwa...
  9. mfungwa

    Madai ya umeme yazidi kusumbua upatikanaji wa maji Ukerewe

    Leo ni siku ya maji duniani, wakati Waziri wa maji alipofika wiki iliyopita Wilayani Ukerewe maji yakatoka kwa siku 2. Kwa sasa maji yamekuwa ni shida kubwa wilaya ambayo inazungukwa na ziwa kubwa ulimwenguni. Enyi watendaji wa maji wilayani Ukerewe mbona mnatutesa namna hiyo. Waziri Mkuu na...
  10. mfungwa

    Madai ya Tanesco kwa idara ya maji yawanyima maji wananchi wa Ukerewe

    Takribani sasa miezi 4 hakuna maji ya ya bomba kwa wakaazi wa kata za Mukituntu na Igalla. Mradi huo uliokuja kufunguliwa na Waziri mkuu akiambatana na Waziri wa maji na msafara wote hadi mkuu wa mkoa wa Mwanza. Hatimae leo imekuwa history ya kukosa maji kwa miezi minne, kisa madai ya...
  11. mfungwa

    DC Ukerewe: Atakayeshindwa kuchangia maabara za sekondari mali zake zikamatwe

    Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe amewaambia Wenyeviti wa vijiji wamkamate na kumuweka ndani mtu yeyote ambaye hajachangia ujenzi wa MAABARA katika shule za Secondary. Asipotoa pesa kwa muda wa saa 6 wakamatwe mbuzi zake, kitanda au chochote alichonacho. Sasa wewe Mkuu hayo yanafanyika wewe unakula...
  12. mfungwa

    Hali ilivyo barabara ya Kibara hadi Bunda

    Hali sio nzuri, barabara shida magari ni mtafutano siku nzima.
  13. mfungwa

    Meneja TANESCO Nansio "atumbuliwe"

    Huyu mtu sielewi kabisa kazi yake, maana kila wiki lazima umeme ukatike katika wilaya hii. Hakuna wiki hata moja iliyoachwa umeme ndani ya siku 1 au 2. Ninavyoongea leo siku ya tatu umeme haupo. Hivi hii ndio Tanzania ya viwanda au mna fanya majaribio ya kuwa na midomo majukwaani. "Tanzania...
  14. mfungwa

    Ujenzi wa madaraja Ukerewe ni majipu

    Mkuu wa wilaya ukerewe unaombwa uangaze suala hili na ufuatilie mwenyewe. Na pia likianza ufa nk....likarabatiwe maramoja. Yaani kinachofuata likiharibika ujenzi wake hadi miaka kadhaaa. Mfano mzuri ni hili BWASA...KAHAMA...MUHULA(MLEZI).
Back
Top Bottom