mfungwa
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 1,291
- 341
Kipindi Makamu wa Rais na baadae Waziri mkuu akija kufungua mradi wa maji hapa Nansio Ukerewe pamoja na Kata za Mukituntu, Namagondo, na Igalla alisema Idara ya maji hakikisheni maji yanatoka ili wananchi wafaidike kwani wamezungukwa na maji. Hii sentensi inakuwa inavunjika kabisa wala kutokuwa na maana hapa wilayani ukerewe.
Kwani TANESCO wakikata umeme kutokana na kutolipa bili kwa idara hii ya maji basi imekuwa desturi maji yanatoka baada ya miezi kuanzia mitano nakuendelea. sasa wewe waziri wa maji kazi yako ninini kwa hawa watendaji wako wanaopaswa kulipia umeme kabla Tanesco hawajakata umeme wakidai bili yao.
Kwani TANESCO wakikata umeme kutokana na kutolipa bili kwa idara hii ya maji basi imekuwa desturi maji yanatoka baada ya miezi kuanzia mitano nakuendelea. sasa wewe waziri wa maji kazi yako ninini kwa hawa watendaji wako wanaopaswa kulipia umeme kabla Tanesco hawajakata umeme wakidai bili yao.