Recent content by mfumbilwa

  1. mfumbilwa

    Umoja wa Ulaya ndio umoja wenye nguvu unaofuata

    Vitu vya muungano Huwa inategemea sana utashi wa viongozi wa wakati huo.Kwahiyo ni rahisi sana kuanguka.
  2. mfumbilwa

    Ni wakati wa nchi za Magharibi na US kubadilika dunia inabadilika

    Hata mchina alikuwa hivyohivyo Sasa hivi wanamgwaya.Wanaona kiteknolojia anawakimbiza.Kumbuka hata kwenye kituo cha anga walimtenga,Sasa amejenga cha kwake peke yake.Hashirikiani na mtu.
  3. mfumbilwa

    Naombeni elimu juu ya uwekezaji wa Bondi

    Nimekuwa nikisikiasikia kuwa benki ya NMB inauza BONDI. Na watu hununua Bondi hizo. Naombeni kueleweshwa juu ya biashara hiyo kwa mwenye uelewa. Asante.
  4. mfumbilwa

    Fixed deposit kwa sasa hazina faida tena

    Hapo kwenye bonds tuombe kaufafanuzi kidogo.Kitu kigeni kwangu!
  5. mfumbilwa

    Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

    Katika utafiti wako ni kada ipi yenye watumishi wengi kati ya hizo ulizotaja?
  6. mfumbilwa

    Marekani imetenga dola billion 674 kama bajeti ya jeshi 2018/2019

    Nadhani hivyo ni vitisho tu,mbona Korea kaskazini kule aliishia mazoezi tu!
  7. mfumbilwa

    Putin hakumuua Mtoto wangu: Asema Baba wa jasusi Alexander Litvinenko

    Ujinga uko na wao wenyewe.Wanadanganywa kutoroka nchi kwa ahadi tamu sana,lakini wakisha watumia kwa maslahi yao huwapoteza kwani,hawawezi kukuhifadhi milele.
  8. mfumbilwa

    S400 missile systems mbioni kutua Uturuki

    Hongera zao waturuki
  9. mfumbilwa

    S400 missile systems mbioni kutua Uturuki

    Hongera zao waturuki
Back
Top Bottom